Wanaume tuwe makini kudate na wadada wa kuanzia 27+

Wanaume tuwe makini kudate na wadada wa kuanzia 27+

ila kweli lakini kuna mabaharia wanaweza mtu anadate na mwanamke mwenye 27+ kwa hata miaka 4 then anampiga chini
 
Sijui kwanini sikuhizi nikisoma nyuzi humu naona kabisa nadanganywa na natofautiana nazo.

Kuna mawili labda nyie wenzangu mnazidi kuwa wajinga au mimi ndiye nazidi kuwa mjinga.

Yaani kweli wanawake 27+ ambao hawajaolewa wengi wao wao ni watoto wa kishua???
Alipokosea ni kusema wa kishua ila ni kwamba umri huo wengi wanakuwa kwenye mihemko ya kutaka kupata ndoa na kutaka kuzaa, hilo naweza kumuunga mkono kwa asilimia flani, halafu hyo rika yakupasa uwe muwazi maana usipokuwa muwazi unaweza ukajikuta umeoa mwanamke usiyempenda. Uwazi ni kuwa unapiga na kusepa au unapaki Lori.
 
Ukiwa mkweli sharti usiogope mapovu. Mwanamke anakuwa kwenye kilele cha uzuri wake akiwa kwenye umri kati ya 18+30.
Kama unataka mwanamke wa kuoa ambaye atakuheshimu na kukufurahisha otea kwenye 18-25.
Mungu mwenyewe alimteua mwanamke amzaye Yesu pindi Bikira Maria alipokuwa kwenye 17-19, akiwa bado mbichi kabisa....sasa wewe unaenda kuokota wastaafu wa 30-40 umekuwa nyumba ya kutunza wazee?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] stakafilulaa
 
Tena wewe na kuzibua mwenyewe.
Mwanaume wangu hawezi gombana na vitu vya ajabu [emoji1787][emoji1787]
Sawa unauwezo wa kuandika chochote.
Ila muombe sana Mungu katika maisha yako usiwahi kukutana na mimi kwenye hiyo hali "eti unampiga mwanaume" nikishuhudia.
 
Uzi Closed!
Huwa nacheka sana baadhi ya wanaume hapa wakisema "eti usiwachezee hisia zao", jamani wanaume amkeni usingizini usidanganye unachezea hisia zake ukipata chance ya kupiga mwanamke mwenye umri mkubwa aliyevuka miaka 25 kama bado hajachoka choka we chapa tu ila asikugeuze jumba la kustaafia(ndoa) baada ya ku-enjoy ujana wake (18 ~ 22). Binafsi naamini ni busara zaidi ukaoa mwanamke uliye-enjoy peak yake ya uzuri (18 ~22).

Ukweli ni hivi, Yeye ndiye anayekuchezea wewe kihisia. Maana baada ya watu kujipigia sana huko wewe ndio anakuona unafaa sasa kuishi nae muda ambao ameaza kuchoka alikuwa wapi kipindi bado mbichi (18~22)? Hapa alikuwa na watu aliowapenda zaidi, ila baada ya kumuona ameanza kuzeeka wakaingia mitini ili wewe unayeogopa "kumchezea" umuoe.

Ukweli utabaki kuwa ukweli asilimia zaidi ya 99, wanawake wazuri wanakuwa tayari wapo ktk serious relations au wameolewa pindi wafikapo miaka 25. Nje ya hapo kuna sababu kwa nini huyo mwanamke hajaolewa au hana mtu serious akivuka miaka 25 wengi wao ni hovyo sana either ana-standard za kijinga zisizo halisi.

Asikudanganye mtu, hakuna mwanamke asiyependa kuolewa sio dunia ya kwanza (kama U.S, Europe or Austrilia) wala ya tatu (kama TZ) unless awe amelelewa na single mother (not widow, big diference) au umri wake umevuka miaka zaidi ya 25 na hana mtu serious.
 
Very unfortunate usingizi umepotea na nimeona huu ndo wakati sahihi wa kueleza kwanini Vijana wenzangu au wanaume wenzangu tuwe makini na wadada above 27+

1. Wanaume najua tuna tabia ya kujaribu(kutest) kutongoza kama ata kubali au atakataa. Tukishaona pisi kali yeyote basi tunaona wacha turushe ndoano. Mara imenasa. Kuna wanawake ukimwambia I love you anaweza waambia familia nzima kuwa tayari ana mtu na anataka kumuoa. Kama ulijua utapita basi kwako wewe kafika.

2. Women wana choice za wanaume wanaotaka kudate nao. So kama upo kwenye selection yake na ukapata chance ya kupiga sound basi usha mpata. They know choices zisha anza kuwa few so one mistake one goal. They dont wanna mess with that chance.

3. Lengo la kuwa mwenye mahusiano ni lipi. Wengine wapate mtoto au wapate mapenzi sahihi. So kama we ulijua utapita tu. Una shangaa ana relationship ya one month na mimba tiyari kabeba. Sasa unajiuliza ulikuwa hutaki kuwa baba na you are now becoming one. Take responsibility as a man as long as mimba ni yako.

4. Kuna true love kwa hili rika sana ila kuna uwongo mwingi pia haswa wa kuhusu mahusiano yazamani. Wanajua kabisa ukiyajua yanaweza leta mtafaruku au kuharibu mahusiano yenu. But wengi wao wapo clean na all they need from you is true love.

5. Wanafaa kuwa wife material haswa kwa vijana ambao wanataka kufanikiwa haraka kimaisha kwa maana ya kimtazamo na ushauri. Wengi wao wanakuwa washa pitia changamoto kadhaa. Japo sio wote utakuta hawaja tumika sana.

Ni ushauri tu na experience nilo iyona.
 
Back
Top Bottom