Hahahahaaa ndio mnavyosemaga....siasa kila konaMmh!kumbe Ila sema mimi nikimpata wangu mwandani nikamweka siwezagi kabisa kumuumiza labda yeye ndo aniumize [emoji6]
Mmh!kweli na hivi sijawahi fall in love kabisa siku nikibahatika nakamatia fursa sitaki kumponza kabisa[emoji4]Hahahahaaa ndio mnavyosemaga....siasa kila kona
Iwe heri kwako upate wa ubavu wako,uishi kwa furaha tele hata km atakuwa 27+[emoji1787]Mmh!kweli na hivi sijawahi fall in love kabisa siku nikibahatika nakamatia fursa sitaki kumponza kabisa[emoji4]
You're such a good lady kumbe unajua kutia moyo sana Ila sasa na mwanaume upate anayekufaa[emoji23]Iwe heri kwako upate wa ubavu wako,uishi kwa furaha tele hata km atakuwa 27+[emoji1787]
Ameeeen![emoji4]You're such a good lady kumbe unajua kutia moyo sana Ila sasa na mwanaume upate anayekufaa[emoji23]
Ila sasa mi sema sizingatii age kwenye relationship nachozingatia love[emoji4][emoji4]Ameeeen![emoji4]
Hamna kitu kizuri km kuishi kwenye upendo,haya mambo ya age mara pesa sio msingi ila kilichopo ndani yakoIla sasa mi sema sizingatii age kwenye relationship nachozingatia love[emoji4][emoji4]
Wow[emoji6]kumbe na wewe una true love sio kama ya kina..nonihino nilipenda pesa zako ila don't changeHamna kitu kizuri km kuishi kwenye upendo,haya mambo ya age mara pesa sio msingi ila kilichopo ndani yako
Kila siku namuomba Mungu anijaze mema ndani yangu,mabaya ya ulimwengu yasikatili moyo wanguWow[emoji6]kumbe na wewe una true love sio kama ya kina..nonihino nilipenda pesa zako ila don't change
Wow[emoji6]ila sema dunia haiko fair watu wema na wenye mioyo mema hawapatagi wenza mapema [emoji4]Kila siku namuomba Mungu anijaze mema ndani yangu,mabaya ya ulimwengu yasikatili moyo wangu
SanaaaaUnahangaika sana
Nimeshajiandaa kisaikolojia[emoji41]Wow[emoji6]ila sema dunia haiko fair watu wema na wenye mioyo mema hawapatagi wenza mapema [emoji4]
[emoji4]yeah ndo vizuri Ila mimi nataminigi nione hiyo love wanayosemaga inaumiza nione Kama ni kweliNimeshajiandaa kisaikolojia[emoji41]
Subiri wakati wako ufike utayaona mengi na ndo utajua hujui[emoji28]....hyo kuumiza inakuja km [emoji304][emoji4]yeah ndo vizuri Ila mimi nataminigi nione hiyo love wanayosemaga inaumiza nione Kama ni kweli
Wewe usiniambie na mimi ntaumizwa nilivyo na moyo wa upendo hivi jamani[emoji1]Subiri wakati wako ufike utayaona mengi na ndo utajua hujui[emoji28]....hyo kuumiza inakuja km [emoji304]
[emoji28]Utajionea mwenyewe mkuuWewe usiniambie na mimi ntaumizwa nilivyo na moyo wa upendo hivi jamani[emoji1]