Wanaume tuwe makini kudate na wadada wa kuanzia 27+

Hey guys, stop dating for fun.

Why getting into relationship that takes you nowhere 😡😠😡
 
hapo ndo mnapojikuta mmeharibu Vibaya mno.

siwapangii Cha kufanya Ila Aina hiyo ya mwanamke nilishindwa kuishi nae Mimi.

Sent from my Infinix X5515 using JamiiForums mobile app
 
Nenda TRA au bank za NMB au CRDB utakutana na watoto wa kishua kibao.
Mtoto wa kishua sio mpaka awe na masters. Alafu watoto wa kishua sio wote wana mind kusoma sana.
Degree yake ina mtosha.
Watoto wa kishua wengi wanadate na vijana ambao sio type yao wengine hadi dereva bodaboda.
Kwahyo akikuona una muonekana na unasomeka na ukamletea stori za ndoa.
My friend you are in for it
 
Umeelezea kama una data zote lkn (?).... anyway, si lazima Me kuoa agemates.

Hakuna umri mbaya kwa mwanaume kujihusisha na mapenzi Kama akiwa kwenye 18-30. Maana katika huo umri mwanaume bado hajajipanga kimaisha unless kuwe na exception. Lakini kwa mwanamke ni sahihi maana hategemewi kuchangia material yoyote kwenye mahusiano ya ndoa.

Mwanaume kwanzia 30 na kwendelea ndio panakucha, stress za maisha zishapungua yaani kila kitu kina boom. Me hata awe na 40 bado ni muda sahihi wa kuoa Ila Ke akifika 30 Kama hajaolewa analo.
 
Wenye akili wako busy na vitu vya maana huko
Ila hawa kajambanani kutwa kuandika utopolo kama wa mtoa mada.
Wenye akili kubwa hawawazi ka mleta mada anavowaza wanawaza vitu vikubwa, Yani mwanaume anawaza wanawake kuolewa je wanawake wote wa ukoo wake wameolewa, Hana kazi za kumkeep busy huko aliko
 
Basi umekutana na mateller watatu wanne...benki panavyovutia wakakuambia wao wa kishua.

27 sio umri mkubwa kwa wanawake usiwatishe....waache watimize ndoto zao.

Tena jua kabisa leo ukikutana na mwanamke akaonyesha hataki kuolewa ni haujakidhi vigezo vyake. Inamaanisha kwake wewe ni aheri asiolewe.
 
Ungesema "Wavulana tuwe makini kudate na wadada wa kuanzia 27+"

Sasa wanaume tusi-date na wadada wa 27+ kumbe ulitarajia tu-date na wenye umri upi?
[emoji7][emoji122]
First born agiza kinywaji nakuja kulipa
 
Wenye akili kubwa hawawazi ka mleta mada anavowaza wanawaza vitu vikubwa, Yani mwanaume anawaza wanawake kuolewa je wanawake wote wa ukoo wake wameolewa, Hana kazi za kumkeep busy huko aliko
Mtoa mada ni mtoto mdogo asiye na akili
 
Unadhani utafanya kazi benk bila connection.
Wakishua wanajulikana sio mpaka akwambie. Fanya tafiti boss ndo ujenge hoja.
Kuanzia 27 mentality ya mwanamke huanza kubadilika wengi wao hutaka kusetle na mwenza wao.
 

Umenipoteza maana umeleta mapya ambayo sikuqoute.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…