Wanaume tuwe makini kudate na wadada wa kuanzia 27+

Wanaume tuwe makini kudate na wadada wa kuanzia 27+

Wanaume bora mdate na woman Kama cariha kwasababu utundu alionao hapa nahisi ndo atakao Kuwa nao kwa bedroom[emoji1787][emoji1787]
 
kuna ID ime kula Ban moja matata sana apo juu mpaka kurudi humu tena n pale Yesu atakapo kua amerud
 
Huwa nayaita ma screpa au matandam

Ujana wako uliko na mwengine halafu uzee wako uje kwangu

Ni mwendo wa Ku hit and run
Sasa...Wewe hii jeuri na dhalau zako zinamwisho ..KWAKUWA unajifanya Wewe Ni forever Young... Hizo mbooo zinasimama wima saiv TU...baadae Tena Sio mbali utaishia hospital na kwa waganga kurudisha nguvu..
 
Huyu kanichekesha kwa kweli Yani Mana kaishiwa Mara english sijui alisajau kupost picha ya uchi humu, Kuna watu hawajui maana ya forum wallah.
Hajitambui

Yeye mbona ameshindwa kuandika hiyo anayoita English cheap?[emoji1787]
Watu wana stress sana
 
Back
Top Bottom