Wanaume tuwe makini kudate na wadada wa kuanzia 27+

Wanaume tuwe makini kudate na wadada wa kuanzia 27+

Mkuu haya mambo yapo. Mimi ilinitokea nikiwa form nyoko.

Kuna demu alinichukiaga bila sababu yoyote. Yaani nikifika kwenye kikundi cha watu Kama yupo anasepa muda huo huo.

Tukiambiwa tutaje majina ya wasumbufu na wezi wa darasa lazima anitaje, ajabu hakukuwepo na ushahidi wa Mimi kuwa mwizi au msumbufu.
Alikuwa ananifanya kila aina ya fitina na Mimi nikajaa mkenge tuwa bitter rivals wa darasa.
Ajabu ni siku alihamishia dawati lake kwenye row niliyokuwepo...anawaambia wenzie "huyu nitakaa naye beneti hadi anikome"
Mwisho wa siku nilielewa jinsi hii michezo inavyochezeka....haina formula ya kueleweka.
Kabisa Kiongozi
Hivi Vitu vipo Mkuu labda Watu waje kutoa Shuhuda Zao[emoji2][emoji2][emoji2]
Dada ni mbishi Tatizo yani

Hapo Mmoja akijishusha tu Mchezo umekwishaa
Hivi Samcezar akimfata PM unadhan atakua na Jeuri ya kumjibu Shiti kama anavyofanya hapa


After Three or Days Tena utakua na Furuha you never had na ndoa mnaweza kufunga Kabisaa, [emoji13][emoji38]

Mapenzi hayana Baunsa
 
Notification gani yake niione wakati Yuko kwa ignore list tayari shamtia kwenye dustibin, huwezi anzisha mahusiano na mtu mwenye personality disorder utegemee jipya. Huyo akafie huko na huyo ka mwanaume mwenzenu mpelekeni mirembe akatibiwe acheni kumtia ndimu huyu na depression zake
Hapa tumewashtukia lazima mpunguze speed, lakini mtakuja kulianzishia hata kwenye Uzi mwingine.

Unaweza kumuweka kwenye ignore list lkn kiungo kingine kikamuweka kwenye priority list.
Unapokazana kumwita mgonjwa wa akili pamoja na hizo shamming tactics ndio hisia zenyewe hizo.....kuna manzi niliwahi kuwa naye na hatukuwahi kuitana majina ya staha hata mara moja....yetu yalikuwa ndondocha, tahira, kenge, kobe, punguwani nk still tuli survive.

Kwenye mahusiano ya Ke na Me, maneno na matendo ni vitu viwili tofauti. Kimoja wapo hakiwezi kutumika kuelezea kingine.

Nawatakia kila la kheri, Ila siku mtakapokuwa chumbani mnapigana mipini usiku na mchana mkumbuke kuja JF kutoa ushuhuda wa mlikoanzia.
 
Kabisa Kiongozi
Hivi Vitu vipo Mkuu labda Watu waje kutoa Shuhuda Zao[emoji2][emoji2][emoji2]
Dada ni mbishi Tatizo yani

Hapo Mmoja akijishusha tu Mchezo umekwishaa
Hivi Samcezar akimfata PM unadhan atakua na Jeuri ya kumjibu Shiti kama anavyofanya hapa


After Three or Days Tena utakua na Furuha you never had na ndoa mnaweza kufunga Kabisaa, [emoji13][emoji38]

Mapenzi hayana Baunsa
Hapo nature inawapima emotional stability ya kila upande.

Halafu mapenzi yanayoanzaga hivi yanadumu kinoma 😅 😅 😅 ....tuwatakie kila la kheri.
 
Hapa tumewashtukia lazima mpunguze speed, lakini mtakuja kulianzishia hata kwenye Uzi mwingine.

Unaweza kumuweka kwenye ignore list lkn kiungo kingine kikamuweka kwenye priority list.
Unapokazana kumwita mgonjwa wa akili pamoja na hizo shamming tactics ndio hisia zenyewe hizo.....kuna manzi niliwahi kuwa naye na hatukuwahi kuitana majina ya staha hata mara moja....yetu yalikuwa ndondocha, tahira, kenge, kobe, punguwani nk still tuli survive.

Kwenye mahusiano ya Ke na Me, maneno na matendo ni vitu viwili tofauti. Kimoja wapo hakiwezi kutumika kuelezea kingine.

Nawatakia kila la kheri, Ila siku mtakapokuwa chumbani mnapigana mipini usiku na mchana mkumbuke kuja JF kutoa ushuhuda wa mlikoanzia.
Ulitaka speed iongeze ili iweje maana Yuko kwenye ignore list haoni post zangu na Mimi sioni zake hapo inaachaje kupungua kwa mfano, hafu kumbe mnapenda kuona ligi za watu wengine ndio mfurahi sio.
Na huo mfano uliotoa ilikuwa experience yako mimi ni mtu wa tofauti sana mwenye misimamo yangu na nikiamua nimeamua kweli sibadiliki au sibadilishwi na chochote, so to me there is no any kind ya affection na yeye zaidi na mwona hamnazo na asiye jielewa and lacks maturity that's all
 
Hapo nature inawapima emotional stability ya kila upande.

Halafu mapenzi yanayoanzaga hivi yanadumu kinoma [emoji28] [emoji28] [emoji28] ....tuwatakie kila la kheri.
[emoji23][emoji23][emoji23] hayo ni mapenzi au ukichaa, hapo hamna Cha stability Wala equalibrium
 
Kabisa Kiongozi
Hivi Vitu vipo Mkuu labda Watu waje kutoa Shuhuda Zao[emoji2][emoji2][emoji2]
Dada ni mbishi Tatizo yani

Hapo Mmoja akijishusha tu Mchezo umekwishaa
Hivi Samcezar akimfata PM unadhan atakua na Jeuri ya kumjibu Shiti kama anavyofanya hapa


After Three or Days Tena utakua na Furuha you never had na ndoa mnaweza kufunga Kabisaa, [emoji13][emoji38]

Mapenzi hayana Baunsa
Acheni kulazimisha Mambo na kumkuwadia huyo kilaza wenu, hapo hamna Cha pm waala shetani ake pm kwanza shampa spana akafie huko
 
Hahaaa Hawa wasafwa wa mporoto wanao undergo human evolution eeeh not me kwa kweli. JF ni social media na sio sehemu ya mahusiano kila mtu akafie mbali na stress zake. Tena humu wagonjwa ni wengi wanaohitaji tiba
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Wewe Niko JF ka sehemu ya kujifunza Mambo na sio kutafta mahusiano na wagonjwa wa akili walioshindikana na maisha yao. So hyo ya love never kabisa over my deadbody loh.
Hafu huo mfano wako ni irrelevant maana Mimi msingi na olevel nimedunda Sana wanaume waliokuwa hawajielewi na hawajawahi dhubutu kuongelea ujinga wa mahusiano kabisa sembuse JF.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]
 
Ukweli unao umiza sema bado watakupinga na wakutukana.
Hakuna anayechukia umri mkubwa bila sababu za msingi.
1. Fikiria uzazi wa mpango unavyoelekeza. Ukianza familia na mwanamke wa 30+ na ukatoa nafasi inavyotakiwa huwezi pata watoto zaidi ya 3 kabla kisima hakijakauka.
2. Kitibabu ( na ushahidi upo), mwanamke anavyochelewa KUANZA kuzaa ana uwekano mkubwa wa kupata matatizo ya uzazi ikianza na uvimbe kwenye mfuko wa uzazi nk. Hata kliniki wanawake wa umri huo hawatakiwi kujifungulia kwenye zshanati na vituo vya afya... wanahesabika... hatariii...
3. Wanachakaa haraka. Mwangalie mwanamke alianza na kumaliza uzazi mapema na aliyechelewa kuanza. Ni watu wawili tofauti kabisa. Moja kijana na shepu ipo na mwingine kachakaa dura na mwili.
4. Hili ni kwa wanaume. Hebu jiulize. Kama unataka ukiwa na mwanao wa mwisho awe na say miaka 20 wakati ukifikisha miaka 55 unakiwa umzae ukiwa na miaka mingapi? Itakuwa 35. Kama unatakiwa umzae last born wako na miaka 35 swali ni je? Unatakiwa uoe na kuanza familia ukiwa na miaka mingapi? Na say uwe na wstoto 4? Walioachana ( say ) miaka 3? Utaona mwanamke wa 30+ hana nafasi kwenye maisha ya kijana serias aliyejipanga. Maana utaoa dadako mkubwa [emoji2][emoji2]
5. Hakuna sababu ya msingi maana wawake wanamaliza vyuo na umri mdogo... why wait up 30+...Naunga mkono hoja... haina sababu kabisaaa.
 
Back
Top Bottom