Wanaume tuwe makini kudate na wadada wa kuanzia 27+

Kabisa Kiongozi
Hivi Vitu vipo Mkuu labda Watu waje kutoa Shuhuda Zao[emoji2][emoji2][emoji2]
Dada ni mbishi Tatizo yani

Hapo Mmoja akijishusha tu Mchezo umekwishaa
Hivi Samcezar akimfata PM unadhan atakua na Jeuri ya kumjibu Shiti kama anavyofanya hapa


After Three or Days Tena utakua na Furuha you never had na ndoa mnaweza kufunga Kabisaa, [emoji13][emoji38]

Mapenzi hayana Baunsa
 
Hapa tumewashtukia lazima mpunguze speed, lakini mtakuja kulianzishia hata kwenye Uzi mwingine.

Unaweza kumuweka kwenye ignore list lkn kiungo kingine kikamuweka kwenye priority list.
Unapokazana kumwita mgonjwa wa akili pamoja na hizo shamming tactics ndio hisia zenyewe hizo.....kuna manzi niliwahi kuwa naye na hatukuwahi kuitana majina ya staha hata mara moja....yetu yalikuwa ndondocha, tahira, kenge, kobe, punguwani nk still tuli survive.

Kwenye mahusiano ya Ke na Me, maneno na matendo ni vitu viwili tofauti. Kimoja wapo hakiwezi kutumika kuelezea kingine.

Nawatakia kila la kheri, Ila siku mtakapokuwa chumbani mnapigana mipini usiku na mchana mkumbuke kuja JF kutoa ushuhuda wa mlikoanzia.
 
Hapo nature inawapima emotional stability ya kila upande.

Halafu mapenzi yanayoanzaga hivi yanadumu kinoma 😅 😅 😅 ....tuwatakie kila la kheri.
 
Ulitaka speed iongeze ili iweje maana Yuko kwenye ignore list haoni post zangu na Mimi sioni zake hapo inaachaje kupungua kwa mfano, hafu kumbe mnapenda kuona ligi za watu wengine ndio mfurahi sio.
Na huo mfano uliotoa ilikuwa experience yako mimi ni mtu wa tofauti sana mwenye misimamo yangu na nikiamua nimeamua kweli sibadiliki au sibadilishwi na chochote, so to me there is no any kind ya affection na yeye zaidi na mwona hamnazo na asiye jielewa and lacks maturity that's all
 
Hapo nature inawapima emotional stability ya kila upande.

Halafu mapenzi yanayoanzaga hivi yanadumu kinoma [emoji28] [emoji28] [emoji28] ....tuwatakie kila la kheri.
[emoji23][emoji23][emoji23] hayo ni mapenzi au ukichaa, hapo hamna Cha stability Wala equalibrium
 
Acheni kulazimisha Mambo na kumkuwadia huyo kilaza wenu, hapo hamna Cha pm waala shetani ake pm kwanza shampa spana akafie huko
 
Hahaaa Hawa wasafwa wa mporoto wanao undergo human evolution eeeh not me kwa kweli. JF ni social media na sio sehemu ya mahusiano kila mtu akafie mbali na stress zake. Tena humu wagonjwa ni wengi wanaohitaji tiba
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]
 
Ukweli unao umiza sema bado watakupinga na wakutukana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…