atlas copco
JF-Expert Member
- Jun 15, 2015
- 8,497
- 9,728
Yeah kinachotaka kutokea hapa si kigeni nadhan kuna member kama sikosei ni Nifah na nan yule walikuwa mahasimu kweli lkn nadhan ss hivi wanapika na kupakua,niwatakie kila la kheri cariha na mwenzakoSamcezar na cariha mnachokifanya hapa kinaitwa reversed expression of love.
Mnatumia negativities kuelezea hisia zenu....mnatukanana lakini hakuna anayekubali ku give up sababu mnapenda kuwa in touch.
Mkitoka hapa mtaelekea PM na mwisho wa siku ni 6*6 bila tambara lolote.
Imewahi kutokea hivi hivi hapa JF na sasa ni mume na mke.
Nawatakia kila la kheri[emoji28]
Mkuu I assure you, humu JF staki mpenzi wallah yoyote na hiyo technique haiwez kuweki kwangu, Yani kuwa na mahusiano na mtu ambaye mitazamo yetu tofauti, he is toxic na ana pain zake he needs to heal first, anaamini kwenye ukandamizaji wa wanawake I don't believe that, daily kunitukana humu JF matusi na kila comments huyo, aisee ni vile hizi fake I'd tu hata angekuwa mume wa ndoa ningemshikisha adabu mpaka anyooke, siamini kwa watu wenye tabia za kishenzi shenzi Kama zake aisee never.
Wahuni utawajua tu[emoji3]
Unadhani utafanya kazi benk bila connection.
Wakishua wanajulikana sio mpaka akwambie. Fanya tafiti boss ndo ujenge hoja.
Kuanzia 27 mentality ya mwanamke huanza kubadilika wengi wao hutaka kusetle na mwenza wao.
Ukiwa mkweli sharti usiogope mapovu. Mwanamke anakuwa kwenye kilele cha uzuri wake akiwa kwenye umri kati ya 18-30.
Kama unataka mwanamke wa kuoa ambaye atakuheshimu na kukufurahisha otea kwenye 18-25.
Mungu mwenyewe alimteua mwanamke amzaye Yesu pindi Bikira Maria alipokuwa kwenye 17-19, akiwa bado mbichi kabisa....sasa wewe unaenda kuokota wastaafu wa 30-40 umekuwa nyumba ya kutunza wazee?
Dah kwani kuna shida ganiUmeongea wewe ila naona aibu mimi, Mkuu kufanya kazi Bank unaona ni issue sana ehee??
Kicheko chako kinanipa walakini.Ila JF kiboko[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
30 - 40 Wastaafu??
Nimecheka kama mazuri, jamani msikashifu hivi watu.
saluni zenu huwa hazina mziki, huwa mnajazana nini vichwani kama sio Ujinga?Acheni ujinga
Kicheko chako kinanipa walakini.
Lakini hata kama ushastaafu bado unaweza kupata kazi private, mradi tu injini iwe imara.
Kuna kazi ya private haina ukomo wa umri.Nishastaafu ndiyo, hakuna atakae baki kijana milele.
Umeniquote nini sasa hapo??saluni zenu huwa hazina mziki, huwa mnajazana nini vichwani kama sio Ujinga?
Tulia dawa ikuingie vizuri lumumba buku 7 wewe
Kuna kazi ya private haina ukomo wa umri.
Kwanini usi apply ili uendelee kula pensheni na mshahara?
Hakuna shida wala ukooBahati mbaya sina hiyo shida, angalia kwenye ukoo wako alie na shida hiyo mpatie[emoji1545].
[emoji23]Sijui kwanini sikuhizi nikisoma nyuzi humu naona kabisa nadanganywa na natofautiana nazo.
Kuna mawili labda nyie wenzangu mnazidi kuwa wajinga au mimi ndiye nazidi kuwa mjinga.
Yaani kweli wanawake 27+ ambao hawajaolewa wengi wao wao ni watoto wa kishua???
[emoji23][emoji23]Halafu wanaoleta hizi mada mara nyingi unakuta hata hawaeleweki.
Siyo mfukoni, kazi unakuta hana,ukikaona hata hakaeleweki.