Wanaume tuwe makini kudate na wadada wa kuanzia 27+

Kwanza itakuwa moyo umemdunda kuona comment yako hapa maana hakutegemea[emoji23]
Yaani atajiona bonge la mtu huko[emoji1787]
Sometimes huwa wanatamani kuongea na watu fulani ila wanashindwa wataanzia wapi
Na huyu anaogopa wadada independent sasa kukataliwa huyo kaja huku kuponda mwanaume design yake ukiwa naye kwenye mahusiano ni wale wanaume wanyanyasaji hafai huyu
 
Na huyu anaogopa wadada independent sasa kukataliwa huyo kaja huku kuponda mwanaume design yake ukiwa naye kwenye mahusiano ni wale wanaume wanyanyasaji hafai huyu
Siyo tu anaogopa.
Ni kwamba hawezi kuwapata[emoji1787]
 
Kwanza inaonyesha hana hela huyu dogo maana hapo juu anawashangaa mabank teller.
Ukiona mtu yupo anashangaa watu badala akafanye kazi ujue hakuna kitu.
Hahaa kweli Hana hela Sasa bank teller naye wakishua jamani, atafte kazi ya kumuweka busy huyu
 
Nime washangaa kwa lipi
Lets stick to the point.
Dating women age 27+ ndo mada yetu
Yaani comments zako mwenyewe ulizokuwa unajadiliana na Daby umeshazisahau mara hii na wakati umeziandika mwenyewe muda mfupi tu uliopita!

Uliyeandika mabank teller si ni wewe mwenyewe!
Kweli wewe hamnazo
 
Wengine wana watoto, ila wapo ambao hawana. Unajua tamaduni ya heshima ya ndoa ni sisi ndo tunayo sana, kama mtu amekuwa kwenye mazingira tofauti ndoa si tatizo kubwa. Wala hakutani na lile swali la unaolewa lini?
Kama ana mtoto basi hayupo kwenye mada. Maana mtoto anaye na anajiweza huyo ni wakishua tayari.
Life support ya mtoto na yeye anaimudu.
Me naongelea bongo zaidi kwa nchi za wenzetu sina tatizo nao kabisa ndo mifumo yao
 
Wengine wana watoto, ila wapo ambao hawana. Unajua tamaduni ya heshima ya ndoa ni sisi ndo tunayo sana, kama mtu amekuwa kwenye mazingira tofauti ndoa si tatizo kubwa. Wala hakutani na lile swali la unaolewa lini?
Watu akili ndogo ndo huhangaika na ndoa aisee siku ukikaa na jamii nyingine Hilo jambo Wala halina mashiko Sasa mleta nada angekutana na watu wa hvo sijui angefanyaje huku watu wamecremisha ndoa na kuzaa Kuna jamii Hilo swala halipo kabisa
 

Ni kweli usitestishe zali kabisaa kama wee ni mgegedaji tuu. Ndio maana mie nimeona sasa ni mwendo wa first yrs wa chuo...yaani namba mpya mpya.πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Hakuna cha miaka sikuizi form 3 tu mtoto hana bikra ata ya mdomoni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…