Wanaume tuwe makini kudate na wadada wa kuanzia 27+

Wanaume tuwe makini kudate na wadada wa kuanzia 27+

Wadada wengi siku hizi haswa walio fika miaka 27 na kuendelea wanakuwa ni waoga sana wa kuachwa na uwoga wa maisha. Kiufupi wana kuwa desperate kiasi fulani.

Tusidanganyane ndoa kwa mwanamke ni kitu kikubwa sana. Kina mpa heshima katika jamii. Mwanamke anaye fika hadi umri wa miaka 30 bila ya kuolewa anaonekana kama alikuwa anauchezea ujana wake kwa kubadilisha wanaume. Ambao kwa namna moja au nyengine ina ukweli fulani.

Ushauri kwa vijana wenzangu tuwe makini sana kudate na hawa wanawake. Kama kweli umempenda kwa dhati basi vizuri lakini kama unapita tu bora umwambie ukweli. Wanawake wa rika hili wana kiu ya ndoa na kupata mtoto kwa hali ya juu.

Sisemi kwamba mwanamke anaye kuwa na 27+ kisa haja olewa ni mbaya hapana. Tena wengi wao wanakuwa ni watoto wa kishua, wanapesa zao na elimu zao. Swali linakuja nani ATAMFUNGA PAKA KENGELE. Maana itakuwa kama wewe ndo unaolewa sasa.

Ukidate na mwanamke wa umri wa 27+ kuwa makini haswa kama kwenu mko vizuri, hapo naongelea mwanamke kama anatokea familia ya chini au kawaida. Kama hutamzawadia mimba basi ndoa. Jipange kwa hayo mawili. Ukisema una test kama wamo au hawamo jua fika unajitafutia matatizo.

Kama hauko tayari kuingia kwenye ndoa au kupata mtoto kaa mbali na wanawake wenye umri unaokaribia 30. Utanishukuru baadae.
Umenusurika kulogwa ww c bure hii
 
Kiongozi tusibishane nenda maofisi kwa watu fanya utafiti alafu uje na majibu.
Nakupa mfano mdogo tu nenda ofisi za serikali utawaona wadada kule uliza kama wameolewa na umri wao. Kiufupi usipinge bila kuwa na utafiti.
Sijui kwanini sikuhizi nikisoma nyuzi humu naona kabisa nadanganywa na natofautiana nazo.

Kuna mawili labda nyie wenzangu mnazidi kuwa wajinga au mimi ndiye nazidi kuwa mjinga.

Yaani kweli wanawake 27+ ambao hawajaolewa wengi wao wao ni watoto wa kishua???
 
Umeumizwa tu wewe sasa swala la umri ni kitu chakujadili kweli maana kiumbe kilichozaliwa kuongezeka miaka ni kawaida Sana, wanaume maisha yakiwashinda huko mnakuja huku kukashifu na hyo bado haiwaondolei stress plus depression daily kulia Lia humu kuhusu wanawake, msitufokee na mapungufu yenu tafadhali
Halafu wanaoleta hizi mada mara nyingi unakuta hata hawaeleweki.
Siyo mfukoni, kazi unakuta hana,ukikaona hata hakaeleweki.
 
Umeumizwa tu wewe sasa swala la umri ni kitu chakujadili kweli maana kiumbe kilichozaliwa kuongezeka miaka ni kawaida Sana, wanaume maisha yakiwashinda huko mnakuja huku kukashifu na hyo bado haiwaondolei stress plus depression daily kulia Lia humu kuhusu wanawake, msitufokee na mapungufu yenu tafadhali
Ww dada unahitaji maombez umpokee yesu kuwa bwana na mwokoz wako
 
Seems like your mindset is still in the Stone Age Era. Let me break it down for you.

Wanawake siku hizi tumeelimika. Tunaenda na kasi ya maisha. Akili zetu zipo kimaendeleo zaidi. Tuna focus kwenye elimu, biashara na ajira ili kujiingizia kipato maisha yaende.

Bado tunapenda na kuheshimu ndoa, lakini Ni muhimu tuingie kwenye ndoa tukiwa na maisha yetu, na hela zetu. Hata tukiingia na kibanda chetu na kiusafiri Kuna tatizo kwani?

Kulewa na kuzaa kupo tu. Tusake maisha kwanza.
 
Kiongozi tusibishane nenda maofisi kwa watu fanya utafiti alafu uje na majibu.
Nakupa mfano mdogo tu nenda ofisi za serikali utawaona wadada kule uliza kama wameolewa na umri wao. Kiufupi usipinge bila kuwa na utafiti.
Wanawake ndiyo wanaoa?

Utasema hawaonyeshi tabia za kuolewa hivyo wanaume wanawakimbia.

Je, hao wenye tabia njema mnawaoa?
 
Sijaumizwa na yeyote ila naona tabu wanazo pitia dada zetu pindi umri wao unapikaribia na 30.
Hahaaa una matatizo wewe Yani umri wa wanawake ukuumize ili iweje maisha ni zaidi ya ngono, na jifunze ku mind bussiness yako mwisho utakuwa mchawi sasa, maisha na umri wa watu ambao ni Jambo la kawaida vikuumize jichunguze wewe
 
Wewe una matatizo ya kisaikolojia Yani umri wa wanawake ukuumize, naona umeumizwa na huyo dada Sasa kuja kupoza machungu ukaamua uanzishe Uzi ili kujipa matumaini hewa ya kupata faraja, nasema tena pole Sana kwa kuumizwa huko umri wa binadamu lazima uongezeke tu bila kujali jinsia so hoja yako haina mashiko
Unahangaika sana
Nilijua tuu MAPOVU Hayatakosa

Kosa la mtoa Mada Liko Wapi ??
Kwan ni uongo wadada wenye 27+ Swala la ndoa Linawapasua vichwaa ??

Kila Siku Tunapishana nao makanisani wanaombewa Au mumesahau upepo wa kisurisuri wa marehemu Mama Rwakatare

The issues is TUWE NAO MAKINI Sababu wako Desperate na Ndoa Mbona Mada inaeleweka
[emoji28][emoji28][emoji1]
 
Hapo mnapo jaribu kushindana na maisha basi umri unakutupa mkono.
The more you get older choices zina pungua ndio maana ukisikia suala la ndoa una kuwa attention
Seems like your mindset is still in the Stone Age Era. Let me break it down for you.

Wanawake siku hizi tumeelimika. Tunaenda na kasi ya maisha. Akili zetu zipo kimaendeleo zaidi. Tuna focus kwenye elimu, biashara na ajira ili kujiingizia kipato maisha yaende.

Bado tunapenda na kuheshimu ndoa, lakini Ni muhimu tuingie kwenye ndoa tukiwa na maisha yetu, na hela zetu. Hata tukiingia na kibanda chetu na kiusafiri Kuna tatizo kwani?

Kulewa na kuzaa kupo tu. Tusake maisha kwanza.
 
Nilijua tuu MAPOVU Hayatakosa

Kosa la mtoa Mada Liko Wapi ??
Kwan ni uongo wadada wenye 27+ Swala la ndoa Linawapasua vichwaa ??

Kila Siku Tunapishana nao makanisani wanaombewa Au mumesahau upepo wa kisurisuri wa marehemu Mama Rwakatare

The issues is TUWE NAO MAKINI Sababu wako Desperate na Ndoa Mbona Mada inaeleweka
[emoji28][emoji28][emoji1]
Unahangaika nao wa nini kama hawakuhusu?
Miaka yao wenyewe halafu mkahangaike wengine?
Wivu ni kidonda
 
Nashukuru kwa support kiongozi hawataki kuambiwa ukweli
Nilijua tuu MAPOVU Hayatakosa

Kosa la mtoa Mada Liko Wapi ??
Kwan ni uongo wadada wenye 27+ Swala la ndoa Linawapasua vichwaa ??

Kila Siku Tunapishana nao makanisani wanaombewa Au mumesahau upepo wa kisurisuri wa marehemu Mama Rwakatare

The issues is TUWE NAO MAKINI Sababu wako Desperate na Ndoa Mbona Mada inaeleweka
[emoji28][emoji28][emoji1]
 
Kama mwanamume una ndoto za kuoa, umri mzuri wa Ke ya kuoa ni 19-25.

Huo umri bado ni samaki mbichi, unaweza kumkunja utakavyo.
Zaidi ya hapo ujiandae maana tayari keshakuwa nunda. Above 25 kuna uwezekano keshakutana na masahibu mengi kitu kitakachomfanya angie kwenye mahusiano kwa kujihami.
 
Nilijua tuu MAPOVU Hayatakosa

Kosa la mtoa Mada Liko Wapi ??
Kwan ni uongo wadada wenye 27+ Swala la ndoa Linawapasua vichwaa ??

Kila Siku Tunapishana nao makanisani wanaombewa Au mumesahau upepo wa kisurisuri wa marehemu Mama Rwakatare

The issues is TUWE NAO MAKINI Sababu wako Desperate na Ndoa Mbona Mada inaeleweka
[emoji28][emoji28][emoji1]
Sio povu lazima tuwaambie ukweli mzibuke akili zenu kichwani, ujue wanaume wasio na mbele na nyuma ndio huhangaika na wanawake ili wajifariji mioyoni mwao badala ya kutafta maisha.
Kuna dada ni blog maarufu na nigeria ana hela zawadi kajipa range rover chakushangaza wanaume wasio na mbele Wala nyuma hata bicycle hawana wakawa Wana mshambulia na kumtusi. So kwa Africa wanaume wamepoteza uanaume wao asilimia zote
 
Hapo mnapo jaribu kushindana na maisha basi umri unakutupa mkono.
The more you get older choices zina pungua ndio maana ukisikia suala la ndoa una kuwa attention
Maisha lazima tushindane nayo. Enzi za mwanamke kukaa ndani kusubiri kupewa zilishaisha.

Enzi za mwanamke kuteseka baada ya mume kufariki kisa alikuwa Kakaa ndani analetewa tu ziliisha.

Sasa hv tunapambana. Unaweka mboga naweka ugali. Hao under 27 labda ndio desperate sababu hawajajijenga na wanaona maisha bila mwanamme hayaendi.

Over 27 is legit. Focused, ambitious and woke women.
 
Back
Top Bottom