Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Hujanilipia ada shuleni tafadhali hicho kiingereza chako cha kuunga usinichoshe nacho.What did you just call me??
Bado nasubiri unionyeshe hilo tusi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hujanilipia ada shuleni tafadhali hicho kiingereza chako cha kuunga usinichoshe nacho.What did you just call me??
Umeshamaliza kuchukua takwimu?Bwana Yesu asifiwe mtumishi.
Kuna ukweli kabisaHalafu wanaoleta hizi mada mara nyingi unakuta hata hawaeleweki.
Siyo mfukoni, kazi unakuta hana,ukikaona hata hakaeleweki.
Bado naendelea. Nikimaliza nitawatag u27. Kuwakumbusha wasijisahau sana.Umeshamaliza kuchukua takwimu?
SawaBado naendelea. Nikimaliza nitawatag u27. Kuwakumbusha wasijisahau sana.
You said well dude. Tusiangalie matamanio au mahitaji yetu tu ya kimwili pia tuzingatie na kuzijari hisia zao. Binafsi siko tayari kumuona mwanamke anatoa chozi kwasababu yangu. It'd once happened and haunted me before I asked her for a forgiveness na mpaka sasa ni friend with benefit na tunufurahia urafiki wetu pamoja na kuwa yeye yupo kwenye ndoa sasa.Exactly Mkuu
Swala lilikua ni uelewa tuu
Jamaa kaongea kitu helpful Sana
Mimi Leo/kesho nikipata Mdada wa Namna hiyo nitachukulia maanani Sana Swala la feeling zake kwangu
I wonts mess with her feelings kabisa
Hahaha zimekata au bado zipo kichwani?[emoji23][emoji23]Huu uzi wa moto huu.... [emoji1787][emoji1787][emoji1787] ngoja niendelee kujifunza....[emoji481][emoji120]
🤣 🤣 🤣 kakoroga maji na kuwaachia tope. Washakuja tayari wenye umri waoHiki kikao chetu pendwa cha wanaume kinakuja kuvurugwa na wadada wa above 27+ sasa hivi!Mark my words
kwani we una umri gani...tuanzie hapoWewe una matatizo ya kisaikolojia Yani umri wa wanawake ukuumize, naona umeumizwa na huyo dada Sasa kuja kupoza machungu ukaamua uanzishe Uzi ili kujipa matumaini hewa ya kupata faraja, nasema tena pole Sana kwa kuumizwa huko umri wa binadamu lazima uongezeke tu bila kujali jinsia so hoja yako haina mashiko
Kama utaona inafaa kwa upande wako waweza kunijumlisha ingawa mtazamo wako na wangu ni tofauti juu ya mleta uzi.Kila mwanamke ana kipao mbele chake tofauti
Si wote wameweka ndoa Kama priority ya kwanza.
Lengo lake ni hilohilo nililolisema.
Na wewe unataka kumtetea nikujumuishe naye!?[emoji1787][emoji23][emoji1787]
Ni ubaguzi tuKama utaona inafaa kwa upande wako waweza kunijumlisha ingawa mtazamo wako na wangu ni tofauti juu ya mleta uzi.
Ah now I get you while you got him wrong; Alisema kwa ambaye anayetaka ndoa au mtoto ndio wanakuwa very desperate, kwa ambaye ndoa si kitu chochote huyo kula maisha, kuendelea kutafuta pesa, kuendelea kusoma kimojawapo kitakuwa priority yake ni sawa tu.
Daa wewe unawaita dada zako wastaafu? Kwani mtu akitaka kuoa si anachagua ampendaye? Wanaume wengi hamuoi huku mtaani wanashinda wanavuta bangi sasa hao waolewe na nani?Ukiwa mkweli sharti usiogope mapovu. Mwanamke anakuwa kwenye kilele cha uzuri wake akiwa kwenye umri kati ya 18+30.
Kama unataka mwanamke wa kuoa ambaye atakuheshimu na kukufurahisha otea kwenye 18-25.
Mungu mwenyewe alimteua mwanamke amzaye Yesu pindi Bikira Maria alipokuwa kwenye 17-19, akiwa bado mbichi kabisa....sasa wewe unaenda kuokota wastaafu wa 30-40 umekuwa nyumba ya kutunza wazee?
Haha you have nailed it bro but some of them will criticize you. Despite their retirement plan let's not play them a fool.I see alot of shaming tactics from older women here. Listen men, women use shaming tactics to pin down men in arguments kama wanavyofanya katika mada hii, kama umeanza ku-date na manzi uliyemkuta ana miaka zaidi ya 25 jua tu hapo unalamba galasa (she sees you as retirement plan after her prime years, 18 ~ 22). From my vast experience, almost all good girls are taken by 25.
Hahaha zimekata au bado zipo kichwani?[emoji23][emoji23]
Najua baadae nitakukosa lindoni kwa kuima mapemaaa weye[emoji16][emoji16]
Hivi humjui Daby??Acha kuwatia ujinga watoto wa watu..... Ndoto gani hizo.... Mtu anatombwa na wanaume tofauti is that part of ndoto?!
Mwenzio kapanic huko juu umemwita shoga. Punguza maneno yenye ukakasi hata kama hukumaanisha ambacho wanaume wengi tunachukia.Ni ubaguzi tu
Sam unapiga spana nzito nzito hadi nawaonea huruma hao madadaWewe umejuaje kuwa anafuatailia maisha ya watu?! What of its his business kufuatilia maisha ya watu?!
Mbona wewe umefanya hii topic your personal business?!
[emoji3][emoji3]Hivi humjui Daby??
Ngoja acheze na hizi akili za watu halafu utaona kitakachotoke sasa