Wanaume tuwe makini kudate na wadada wa kuanzia 27+

Wanaume tuwe makini kudate na wadada wa kuanzia 27+

Wadada wengi siku hizi haswa walio fika miaka 27 na kuendelea wanakuwa ni waoga sana wa kuachwa na uwoga wa maisha. Kiufupi wana kuwa desperate kiasi fulani.

Tusidanganyane ndoa kwa mwanamke ni kitu kikubwa sana. Kina mpa heshima katika jamii. Mwanamke anaye fika hadi umri wa miaka 30 bila ya kuolewa anaonekana kama alikuwa anauchezea ujana wake kwa kubadilisha wanaume. Ambao kwa namna moja au nyengine ina ukweli fulani.

Ushauri kwa vijana wenzangu tuwe makini sana kudate na hawa wanawake. Kama kweli umempenda kwa dhati basi vizuri lakini kama unapita tu bora umwambie ukweli. Wanawake wa rika hili wana kiu ya ndoa na kupata mtoto kwa hali ya juu.

Sisemi kwamba mwanamke anaye kuwa na 27+ kisa haja olewa ni mbaya hapana. Tena wengi wao wanakuwa ni watoto wa kishua, wanapesa zao na elimu zao. Swali linakuja nani ATAMFUNGA PAKA KENGELE. Maana itakuwa kama wewe ndo unaolewa sasa.

Ukidate na mwanamke wa umri wa 27+ kuwa makini haswa kama kwenu mko vizuri, hapo naongelea mwanamke kama anatokea familia ya chini au kawaida. Kama hutamzawadia mimba basi ndoa. Jipange kwa hayo mawili. Ukisema una test kama wamo au hawamo jua fika unajitafutia matatizo.

Kama hauko tayari kuingia kwenye ndoa au kupata mtoto kaa mbali na wanawake wenye umri unaokaribia 30. Utanishukuru baadae.
An opinion is not a fact!
 
Sawa mstaafu mwenzao
Nani alikwambia wanaume huwa tunastaafu kwenye game?

Mwanamke anatakiwa kukimbizana na muda maana reproductive age yake ni limited. Ndio maana ana mature fasta kuliko mwanaume, mwanamke akifikisha 45 game imeisha hiyo.

Lakini wanaume tukifikisha hata 35 ndo panakucha hata 40 bado tupo asubuhi....hivi umesahau ule msemo wa kiume kwamba life starts at 40?
images (1).jpeg
 
Nani alikwambia wanaume huwa tunastaafu kwenye game?

Mwanamke anatakiwa kukimbizana na muda maana reproductive age yake ni limited. Ndio maana ana mature fasta kuliko mwanaume, mwanamke akifikisha 45 game imeisha hiyo.

Lakini wanaume tukifikisha hata 35 ndo panakucha hata 40 bado tupo asubuhi....hivi umesahau ule msemo wa kiume kwamba life starts at 40?View attachment 1577075
Huo ni msemo wako kikongwe
 
Sasa hapo kiingereza cha kuunga unga kiko wapi bidada?
Hayo ndio madhara ya kusoma Udom, no wonder Magufuli aliwaita vilaza.
Sawa kipanga
Mimi ni kilaza ndiyo maana nimemtaka asitumie kiingereza maana sijaenda shule.

Kuhusu UDOM kaanzishe na wewe chuo chako tuone[emoji1787]
 
Jambo ambalo nina uhakika nalo kwa asilimia zote ni muonekano wa mwili wako, mtu akikuona kwa mbali anaweza akahisi wewe ni katoto ka form two.
Piga ramli tena na Tena[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hatujaziona
Sasa kama unaowapigia hawajaziona basi ujue umetwanga maji kwenye kinu
Eti hatujaziona kama vile mpo kikundi cha watu nyuma ya hiyo Id.
Unatengeneza taswira ya wingi ili upate back up, kwenye huo utopolo walo, hili unakufa nalo mwenyewe mzee
 
Baadae nita toa uzi wa kwanini wanaume wenzangu tusi test kabisa mahusiano na mwanamke wa 27+. We uki beep anapiga.
Stay tune later...
 
Back
Top Bottom