Wanaume tuwe wasafi jamani!

Kuna Mambo sisi wanaume lazima tuyaache na tujue jinsi ya kuwa wasafi.

2. Hotelini mtu anasukutua na kutemea mate au kohozi kwenye sink linalotumiwa na watu wote. raha mustarehe


unataka ameze???
sijakusoma hapo mkuu, nini kazi ya sink????
 
...9. Domo lako unajua kwamba linanuka lakini wewe ndiyo kinara wa kutaka kunong'oneza watu......

Aisee hiii huwa inanikera, halafu ukizingatia ni ngumu kweli kumwambia mdomo wake unatoa harufu mbaya!
 
wengine wakila nyama wana Floss lakini pia siyo lazima uwe na Tongue Scraper lakini angala kwa kiwango cha chini uwe unafanya usafi wa kinywa chako. Sasa fikiria mtu siku mbili haapigi mswaki.

mswaki siku ukitaka denda tu,
 
Aisee hiii huwa inanikera, halafu ukizingatia ni ngumu kweli kumwambia mdomo wake unatoa harufu mbaya!

Hii kwa kweli huwaga ni ngumu. Yaani sijui hata unaanzaje tu.

Kwa kawaida ni moja ya vitu ambavyo mtu unapaswa kugundua mwenyewe. Lakini kwa bahati mbaya si wote ambao tuko hivyo.

It's a very sensitive issue, to say the least.
 
Reactions: SMU

We vipi? watu wako busy na Life,wewe anza usafi huo,kapige mkorogo kama madem tujue moja !
Mwanaume kunuka soksi siyo issue kivile mambo ya kawaida.
Tafuta pesa mkubwa achana na mambo ya kujipodoa podoa,hizo time hatuna sisi !,Hivi maisha haya chini ya uongozi wa sasa CCM unaweza kupata muda wa kuwa msafi kiivyo utakula nini,kwa raha ipi,subiri kwanza tuachafuke saaana na muda ukifika tutastarehe.
 
Baada ya kubeba zege au lumbesa oga basi!!
 
Tafuta pesa mkubwa achana na mambo ya kujipodoa podoa...
wewe na Bill Gates nani ana pesa.kama uchafu ingekuwa ni chanzo cha kupata pesa basi yule Omba Omba Matonya angekuwa Bilionea.
 
wengine wakila nyama wana Floss lakini pia siyo lazima uwe na Tongue Scraper lakini angala kwa kiwango cha chini uwe unafanya usafi wa kinywa chako. Sasa fikiria mtu siku mbili haapigi mswaki.
Fikiria mtu anakunya mapombe ya kienyeji yale (mtama, mnazi,komoni etc) halafu anavuta sigara halafu mswaki hapigi.....!
 

na isha mashauzi kwa pemben anapiga kingoma cha dufu..ahh lazima unyoke...lazima UKANYOE tu...ata km ulikuwa na mpango wa kuweka rasta...
 
Kuna wengine hata chupi wanavaa zimetoboka ati
Soksi zenye uvundo akkingia nazo ndani mwako; siku hiyo no mbu kuingia ndani
kama una mtoto mchanga, pumzi kwake ni mgogoro aise
kwa kweli kwangu nakutoa baluuuuuuu

 
meno kunenepa tena!!!!!!!
mhhhhhhhhhhh rose !!!!

weeeee aujawai onaha i kitu chalii angu?
achaga kabisa yaan kitu ile jino inanenepa inafikia kizibo cha KOFLYN nakwambia ...sasa pata picha expantion ya domo apo litakiuwaje...yaan ukitaka kutafuta nusu duara na kipenyo chake na unapata bila matatiizo kwenye io njino..
 
Nimeishuhudia pia kwenye daladala, wanaume wengi huwa wanarudia nguo hata mara tatu bila kuifua, so unakuta ule uchafu wa kwenye kola ni live bila chenga +mijasho iliyokauka. Halafu daladala imejaa, unakuta umevaa kinguo chako cheupe safi, na jamaa kakuegemea. mmmpheeeew! Huwa nachoka, nahisi kutapika
 


uyu ajakwambia ujipodoe..kakwambia uwe msafi jaman...

ukiwa kazin nobody atasema u mchafu kisa unabeba zege..pale kuchafuka ndo kwake na ukiwa msaf kazin pale utaonekana sio..tatizo afta kubeba zege vp unaenda home..bar ..kwa daladala na nguo zilezile au unaenda kuoga kwanza...?
dadavua apo utajua alikmanisha nini...KUTAFUTA PESA AINAMAANA NDO USIPIGE MSWAK babu et ukiulizwa mi natafuta pesa...kwani nan atafut pesa?
sasa pangetosha mjin apa km kila mtu anakuwa mchafu kisa ANASAKA PESA?

acha sababu babu..KAOGEEEEEEEEEEEEEE!!!!!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…