Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hana uwezo wa kuamua,Zele alishauza uhuru wa Ukraine siku nyingi.Kuna mambo mengine ni ya kutumia akili tu Ukraine kwa sasa alitakiwa asalimu tu amri yaishe wawekeane makubaliano tu ya kuheshimiana.
Huwezi kukubali wananchi wako waumie wazidi kufa kisa uzalendo wa hivyo hapana.
Walianza Russia kwanza kuajiri vijana wenye umri wa miaka 18-50 waliwagongea milango kwa nguvu wasaini mikataba ya kwenda vitani licha ya wengine kukiri hawajuwi kupigana na hawajawahi ata kusikia mlio wa bunduki Putini akawashika na kuwapeleka machinjioni, wafungwa pia wote waliswekwa vitani hadi Mtanzania 1 pia aliuwawa akipigana upande wa russia. na juzi juzi Wagner wametangaza offer kwa mtu yeyote ajiunge na jeshi lao ili akasaidie kupigana upande wa Putin.Kaka Serhiy na dada Tania walikatisha kufanya harusi yao ufukweni mwa bahari wakihofia hali mbaya ya hewa.Hata walipoingia kwenye ukumbi walikoalkwa wageni kushuhudia harusi yao bado waligundua hali isiyo rafiki kwa furaha yao.Viti zaidi ya nusu vilikuwa ni vitupu ikiwa na maana waliohudhuria ni zaidi kidogo ya robo
.Baadae walijua ni kwanini imekuwa hivyo baada ya kupata ujumbe nyingi zilizotoa udhuru kutoka kwa marafiki na familia, zikisema hawangeweza kuhudhuria kutokana na hofu ya vikosi vya kuandikisha watu kwenda vitani ambavyo sasa huwa vinavinjari kila sehemu yenye mikusanyiko na hata mitaani.
Hali hiyo imeikumba Ukraine baada ya askari wake wengi kufariki vitani au kupata majeraha mabaya.Jambo hilo limewafanya wanaume wachache waliobaki kuamua kujificha wakiwa hawako tayari tena kwenda vitani kupambana na Urusi.
Conscription squads send Ukrainian men into hiding
Hao ni mazombi wametengenezwa na USA ..😂😂Hizi habari za kwamba ukraine wanaume wameisha mbona kama za muda mrefu lkn tunaona vita inaendelea tu.