Tupo bize kutafuta pesa na kupambana na hali ngumu ya maisha hebu jaribuni kutuelewa. Tukisahau Vitu vidogo kama besidei zenu msitufikirie vibaya.Pamoja na kuwa mmeumbwa kusahau, lakini wakati mwingine jitahidini kukumbuka.
Ni vitu vidogo sana ila vinatuumiza sana.
Hapa ni kwa ujumla, sio lazima uwe kwenye mahusiano, hata kaka, baba, mjomba nk.
Natuma ASAPNikishaona Balance nitakuja mbio....
Tunasahau sababu ya kua member wa CHAPUTAPamoja na kuwa mmeumbwa kusahau, lakini wakati mwingine jitahidini kukumbuka.
Ni vitu vidogo sana ila vinatuumiza sana.
Hapa ni kwa ujumla, sio lazima uwe kwenye mahusiano, hata kaka, baba, mjomba nk.
Tupo bize kutafuta pesa na kupambana na hali ngumu ya maisha hebu jaribuni kutuelewa. Tukisahau Vitu vidogo kama besidei zenu msitufikirie vibaya.
Hapana sijasahau, tulikutana kulee,Na wewe ushaanza kusahau? ndio mimi...
Hizi story za kutunga hiziDahhh.....
Sinto sahau nilipo enda kuchepuka, then umeme ukakatika, na kwakua nilitakiwa nirudi home basi nilipo maliza game, nikavaa poa Na kisha nikachukua kitambaa changu (leso) nikatia mfukoni nikasepa home.
Sasa Ile nafika home umeme umerudi, na nikamkuta wife, basi akanikaribisha poa kabisaaaa... Nami kwa mbwembwe nikaanza kuvua nguo ili nikaoge, mara paapp.... Kumbe nilikua nimegeuza boxer wife akamid lakini sio kivile, sababu nikomaa kwamba nikiondoka home nimwivaa hivyo hivyo..... Basi akanielewa
Basi nikaanza kutoa makolokocho mfukoni, khaaaaa.... Sijaibuka na bikini...... Yaani sitaki kukumbuka na naomba nisielezee kilicho tokea.... tehteehhh[emoji12] [emoji12]
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Sifa ya Mwanaume kujisahaulisha..Pamoja na kuwa mmeumbwa kusahau, lakini wakati mwingine jitahidini kukumbuka.
Ni vitu vidogo sana ila vinatuumiza sana.
Hapa ni kwa ujumla, sio lazima uwe kwenye mahusiano, hata kaka, baba, mjomba nk.
Pole sana.Acha tu, ni kiporo nilikuwa nakitafutia mda wa kukiweka humu.
Oky, karibu sana.Asante, yashapita.
Yaani wakati unaninunia najisemea huyu mwanamke kweli ananinunia jambo dogo hivi Mungu amsamehee tu.Unakosea Daby, kwanini sasa ujisahaulishe, halafu ununiwe na chakula usile kwa raha?