Wanaume!!! Usahaulifu wenu unatuumiza....

Eeehhh, unayaweza basi...
Yaani nikishakuweka kwa Moyo ujue hakuna kidogo wala kikubwa....maumivu yake yanafanana.
Ukishamjua mtu wako basi hupati shida. Unajiadjust kama ambavyo yeye anaweka..ukilazimisha mambo ndo kama hivyo lazima usononeke. Nisononeke for what?
 
Ukishamjua mtu wako basi hupati shida. Unajiadjust kama ambavyo yeye anaweka..ukilazimisha mambo ndo kama hivyo lazima usononeke. Nisononeke for what?
Nitasononeka tu, ajifunze kunijalia...nikimzoesha anaweza kuzidisha....ikawa mbaya zaidi
 
Nitasononeka tu, ajifunze kunijalia...nikimzoesha anaweza kuzidisha....ikawa mbaya zaidi
Sawa..labda kama mpo kwenye stage ya kufundishana. Ila kama mmeishi zaidi ya 10yrs hapo sijui unamfundisha nini. Mengine anafanya kusudi tu hata ulie ugalegale chini yupo vile vile habadiliki.
 
Sawa..labda kama mpo kwenye stage ya kufundishana. Ila kama mmeishi zaidi ya 10yrs hapo sijui unamfundisha nini. Mengine anafanya kusudi tu hata ulie ugalegale chini yupo vile vile habadiliki.
Jamaniii eeehh kumbe ndio inavyokuwaga?
Mungu msaidie Mteule wangu asije kubadilika.
 
[emoji23][emoji23][emoji23]Hapo ulisahau au ulichanganywa na giza? Michepuko sio dili baki njia kuu!
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…