Wanaume ushawahi kuwa na girlfriend ambaye unaona aibu hata kumtambulisha mbele za watu

Wanaume ushawahi kuwa na girlfriend ambaye unaona aibu hata kumtambulisha mbele za watu

Balqior

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2021
Posts
2,406
Reaction score
8,039
Habarini,

Katika harakati za kutongoza kama mwanaume unaeza jikuta wanawake wa type yako hawakutaki, unaishia kupata ambao sio type yako.

Ili kutoa ukame, una date na mdada asie type yako, ila hata kumtambulisha kwa ndugu na marafiki kama huyu ni girlfriend wangu, unaona aibu, hata kuongozana nae njiani unamwambia atangulie mbele. Hata ukimpa ujauzito kwa bahati mbaya unamwambia autoe, akikataa unamkimbia.

Hii ishu ishawakuta
 
Nimtongoze mdada awe mpenzi wangu ,halafu nishindwe kumtambulisha kwa ndugu na rafiki zangu !!!! ???, kwamba nililazimishwa kua nae au hao maraki zangu wana agenda gani na yeye mpaka nishindwe??,, kwamba nilitafuta mtu kwa ajili yao au yangu?????



Yani bado natafakari uzi wako umekaaje!!!
 
1729326442468.jpg
 
Habarini,

Katika harakati za kutongoza kama mwanaume unaeza jikuta wanawake wa type yako hawakutaki, unaishia kupata ambao sio type yako.

Ili kutoa ukame, una date na mdada asie type yako, ila hata kumtambulisha kwa ndugu na marafiki kama huyu ni girlfriend wangu, unaona aibu, hata kuongozana nae njiani unamwambia atangulie mbele. Hata ukimpa ujauzito kwa bahati mbaya unamwambia autoe, akikataa unamkimbia.

Hii ishu ishawakuta
Hakuna mwanaume mwenye mwanamke wa type yake bali mwanamke ndiye ana mwanaume wa type yake. Ukiona mwanaume umeanza kua na mwanamke wa type yako jua muda siyo mrefu utakua na wewe wa kike
 
Habarini,

Katika harakati za kutongoza kama mwanaume unaeza jikuta wanawake wa type yako hawakutaki, unaishia kupata ambao sio type yako.

Ili kutoa ukame, una date na mdada asie type yako, ila hata kumtambulisha kwa ndugu na marafiki kama huyu ni girlfriend wangu, unaona aibu, hata kuongozana nae njiani unamwambia atangulie mbele. Hata ukimpa ujauzito kwa bahati mbaya unamwambia autoe, akikataa unamkimbia.

Hii ishu ishawakuta
Mambo mbaya sana hoi hali utokea wakati kichwa cha chini kinakipelekesha kichwa cha juu😂😂😂
 
Wanakuponda bure ila kwa siri wanawajua wadada waliowahi toka nao ila hawataki hata yeyote ajue. Wanao wapenzi wao waliokuwa wanawavusha usiku na kuwatoa asubuhi mapema majirani wasione, hawataki huyo binti aende dukani au avae jezi yako au lolote la kuwatambulisha mko pamoja.

Hakuna malaika humu acheni unafiki. Hata kwa wanawake wanafanya hivi kutafuta watu hawawezi watambulisha, niliwahi toka na mrembo hata hatuendani kabisa nikamsogezea siku baadae akanipiga chini.
 
Back
Top Bottom