Sasa kama ni wa kutolea kutu tu unamganda wa nini? Umeshatoa kutu yako wewe tambaa ukizidiwa tena tafuta mwingine au domo zege wewe?Habarini,
Katika harakati za kutongoza kama mwanaume unaeza jikuta wanawake wa type yako hawakutaki, unaishia kupata ambao sio type yako.
Ili kutoa ukame, una date na mdada asie type yako, ila hata kumtambulisha kwa ndugu na marafiki kama huyu ni girlfriend wangu, unaona aibu, hata kuongozana nae njiani unamwambia atangulie mbele. Hata ukimpa ujauzito kwa bahati mbaya unamwambia autoe, akikataa unamkimbia.
Hii ishu ishawakuta
πππππ
Mmh kuna kitu nilitaka kuropoka. Mdomo wangu koma! Yasije kama yale ya financial service πππWe bado mtoto.hujaijua Dunia vema.unheijua usingekuea unawaza upuuzi hivi.
Kweli duniani kuna watu. Watu wengine wanaishi maisha ya ajabu. Huku ni kukosa akili kulikopotiliza.Nimtongoze mdada awe mpenzi wangu ,halafu nishindwe kumtambulisha kwa ndugu na rafiki zangu !!!! ???, kwamba nililazimishwa kua nae au hao maraki zangu wana agenda gani na yeye mpaka nishindwe??,, kwamba nilitafuta mtu kwa ajili yao au yangu?????
Yani bado natafakari uzi wako umekaaje!!!@
Ni ajabu. Si bora nitafute kahaba nijue na-hit na kuondoka? Yaani unafikia stage mpaka ya kumwita ni girl friend halafu unaogopa kuongozana naye.Kwa nini uwe na mtu usieweza kumtambulisha kwa ndugu na marafiki? Ndio mana mahusiano yanasumbua sana kipindi hiki.
Hii unayoelezea nadhani ni tofauti na mwazisha mada. Hii ya kuchukuwa baada ya kulewa si kama mtu anayechukuwa malaya na kunakuwa hakuna uhusiano wa kudumu.Upwiru usikieni tu
Kuna siku nimechukua ngoma moja baada ya kilaji kukolea nikapunguze upwiru bwana wee ile kuamka asubuhi kucheki vzr dah ngoma ni kama mara4 hiv ya umri wangu. Safari ya mikoani ya uongo na kweli ikaja hapohapo maana bibi alitaka kuganda ngwea anajitia kutoa nguo afue we nikamwambia mama nawahi gari saahz. Nyie upwiru uacheni hivyohivyo.
Ikaja kutokea tena kwa demu mwingine huyu tumekutana mjini lkn wote tunatoka mkoani (tunafahamiana) dah kidada mapepe balaa hlf kina sura mbovu ila we kitamu kinoma ngoma kukitambulisha kwa wana sasa.....
To be continued...
Itakuwa huyu demu ni mbovu sana sio kwa makasiriko haya π€£ππππ
We acha tu, baada ya kuthibitisha kuwa sio mjamzito nilimpiga marufuku kabisaa. Till nowdays nauchukia upwiru na nnajuta kuunganisha kikojoleo changu na chake
Nikifikiria ujauzito mwili unaishiwa nguvu kwa kuwa sijampenda kutoka moyoni
Hello JF Members, tuachane na utani. Let's discuss this serious issue Kuna binti wa jirani yangu hapa. Anatokea bush ndani ndani. Baada ya kuanzisha utani wa hapa na pale na kumgusia suala zima la kumuoa, kajikuta amedata. Siku ya jana mida ya saa 11 jioni wakati natoka mizungukoni, nikakuta...www.jamiiforums.com
Hahaha ExtrovertUpwiru usikieni tu
Kuna siku nimechukua ngoma moja baada ya kilaji kukolea nikapunguze upwiru bwana wee ile kuamka asubuhi kucheki vzr dah ngoma ni kama mara4 hiv ya umri wangu. Safari ya mikoani ya uongo na kweli ikaja hapohapo maana bibi alitaka kuganda ngwea anajitia kutoa nguo afue we nikamwambia mama nawahi gari saahz. Nyie upwiru uacheni hivyohivyo.
Ikaja kutokea tena kwa demu mwingine huyu tumekutana mjini lkn wote tunatoka mkoani (tunafahamiana) dah kidada mapepe balaa hlf kina sura mbovu ila we kitamu kinoma ngoma kukitambulisha kwa wana sasa.....
To be continued...
financial servicesMmh kuna kitu nilitaka kuropoka. Mdomo wangu koma! Yasije kama yale ya financial service πππ