Diason David
JF-Expert Member
- Aug 2, 2018
- 7,557
- 7,367
Hello guys,
There is nothing wrong kama mdada ameamua kutofanya s*x na wewe mpaka umuoe, kiutamaduni na kidini ni sahihi, lakini shida ni kuwa wadada wengi wanaosema hivyo hawako honest utakuta anakwambia kuwa let's wait till marriage, wakati huku pembeni ana kidume kingine ambae anapewa wakati wewe the man of the match huambulii hata busu
Wadada wanaosema hivyo (ukitoa wale walioshika dini kiukweli) wana kuwa hawajavutiwa na wewe, kwahiyo kukupa papuchi anaona kero, lakini yupo na wewe kwa kuwa una pesa au kwa sababu nyingine anazojua yeye isipokuwa mapenzi.
Source: uzoefu wangu
Huwa wanaangalia sura kwanza za kuwaambia hivyo!hasa wasukuma ndio wahanga wakubwa[emoji23]
Naomba kuhuliza kuna uhusiano gani kati ya bikra na mtu wa kwanza kuifungua kama moja ya kumbukumbu zake isiyo saulika maishani kiasi kwamba anaweza kupasha kiporo chake ikawa kajiona sawa kwanini?Bikra ni mwanamke ambae hajawahi kuingiliwa kingono. Hicho ulichotaja wewe ni ushahidi tu wa kuonyesha kwamba mtu hajaingiliwa ambao unaweza kuwepo au usiwepo. Utasikia eti ukiendesha baiskeli bikra inatoka khaa kwamba mtu anapokuwa naendesha baiskeli anakuwa anatiana nayo? Kifupi bikra is not something tangible
Kuhusu hilo sijui bossNaomba kuhuliza kuna uhusiano gani kati ya bikra na mtu wa kwanza kuifungua kama moja ya kumbukumbu zake isiyo saulika maishani kiasi kwamba anaweza kupasha kiporo chake ikawa kajiona sawa kwanini?
Lakini wewe si ulishawi lakini?Kuhusu hilo sijui boss
Lakini wewe si ulishawi lakini?
Si umjibu tuHaha mkuu mbona unanichimba
Si umjibu tu
Kwani nini bibie wewe..
Halafu ameomba ku(hu)liza..Kuhusu hilo sijui boss
NimeshamjibuHalafu ameomba ku(hu)liza..
Mjibu vizuri tu
Kivipi KhantweHaha mkuu mbona unanichimba
Mkuu umenkumbusha kituBikra ni mwanamke ambae hajawahi kuingiliwa kingono. Hicho ulichotaja wewe ni ushahidi tu wa kuonyesha kwamba mtu hajaingiliwa ambao unaweza kuwepo au usiwepo. Utasikia eti ukiendesha baiskeli bikra inatoka khaa kwamba mtu anapokuwa naendesha baiskeli anakuwa anatiana nayo? Kifupi bikra is not something tangible
Watu hawaelewi maana ya bikra. No matter what happens kama hujafanya ngono we ni bikra tuMkuu umenkumbusha kitu
Kuna manzi nliwah mwulza wew n bikra akasrma no
Nlauliza uliwah sex akasema no
Kha sasa ilitokaje akazingizia baskeri[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwahy basker inatoa bikraWatu hawaelewi maana ya bikra. No matter what happens kama hujafanya ngono we ni bikra tu
Kwahy basker inatoa bikra
Ungemwambia na mimi nimeteleza sikuoi tena, halafu umsikilize atakachokujibuDaaaa!!... Umenikumbusha mbali Mkuu ...nilikuwaga na demu wangu wa hivo toka 2012 akiwa anajifanya bikira kidume natunza tuje tuoane ...wakat nataka kumuoa namuuliza bado upo kama kama ulivyoniambi akanambia hapana..nikamuuliza kwa nini akambia kwani sijakuambia nniiteleza nikaanguka nikapasuka...daa wnawake nyoka wa pili baada ibilisi