Wanaume: Vitisho haviimarishi mahusiano

Wanaume: Vitisho haviimarishi mahusiano

Judithkaunda

Member
Joined
Aug 21, 2022
Posts
90
Reaction score
231
Kuna baadhi ya wanaume wanatabia ya kutishia kifo kwa wapenzi au hata wake zao.

Unakuta mwanaume anamwambia mpenzi wake ukichepuka ntakuua.. Halafu bahati mbaya asilimia kubwa wanaosema hivyo ni wachepukaji wazuri na unakuta ameshafumaniwa zaidi ya mara moja.

Huyo huyo mwanaume hafanyi majukumu yake Kama mume au mpenzi. Mnyanyasaji, hamsaport mke, mkifika nyumbani hakuna story, hakuna huge Wala kiss, anadai kachoka. Mnafanya tu tendo kama wajibu na sio kuburudishana.

Huwezi hata kumsifia mkeo akipendeza unaacha wahuni wamsifie kaka utakuja kupigwa na kitu kizito alafu ufanye huo ukatili sijui hao watoto mnawaacha kwenye mazingira gani.

Wanaume kama kweli huo wivu ni upendo onyesheni mapenzi sio vitisho. Kama hamfanyi majukumu yenu unategemea huyo mwanamke atulie kwa misingi ipi?

Kesho ntaongelea wanawake, wanaume msimaindi sana.
 
Nyinyi wanawake mnataka umalaya wenu iwe kama haki kwa kigezo cha wanaume hawapo romantic
sasa nawaambia mtakuja kufa kweli na visa vipo vingi shenzi nyinyi
ukiolewa tulia na mumeo hata kama ana nyumba ndogo 20
 
Kuna baadhi ya wanaume wanatabia ya kutishia kifo kwa wapenzi au hata wake zao.

Unakuta mwanaume anamwambia mpenzi wake ukichepuka ntakuua..
Alafu bahati mbaya asilimia kubwa wanaosema hivyo niwachepukaji wazuri na unakuta ameshafumaniwa zaidi ya mara moja.
Huyo huyo mwanaume afanyi majukumu yake Kama mume au mpenzi.
Mnyanyasaji, hamsaport mke, mkifika nyumbani hakuna story, hakuna huge Wala kiss, anadai kachoka. Mnafanya tu tendo kama wajibu na sio kuburudishana.
Huwezi hata kumsifia mkeo akipendeza unaacha wahuni wamsifie kaka utakuja kupigwa na kitu kizito alafu ufanye huo ukatili sijui hao watoto mnawaacha kwenye mazingira gani.

Wanaume kama kweli huo wivu ni upendo onyesheni mapenzi sio vitisho.

Kama hamfanyi majukumu yenu unategemea huyo mwanamke atulie kwa misingi ipi?

Kesho ntaongelea wanawake, wanaume msimaindi sana.
Wanaume kama kweli huo wivu ni upendo onyesheni mapenzi sio vitisho.

Kama hamfanyi majukumu yenu unategemea huyo mwanamke atulie kwa misingi ipi?

Jiwe gizani
 
Kuna baadhi ya wanaume wanatabia ya kutishia kifo kwa wapenzi au hata wake zao.

Unakuta mwanaume anamwambia mpenzi wake ukichepuka ntakuua..
Alafu bahati mbaya asilimia kubwa wanaosema hivyo niwachepukaji wazuri na unakuta ameshafumaniwa zaidi ya mara moja.
Huyo huyo mwanaume afanyi majukumu yake Kama mume au mpenzi.
Mnyanyasaji, hamsaport mke, mkifika nyumbani hakuna story, hakuna huge Wala kiss, anadai kachoka. Mnafanya tu tendo kama wajibu na sio kuburudishana.
Huwezi hata kumsifia mkeo akipendeza unaacha wahuni wamsifie kaka utakuja kupigwa na kitu kizito alafu ufanye huo ukatili sijui hao watoto mnawaacha kwenye mazingira gani.

Wanaume kama kweli huo wivu ni upendo onyesheni mapenzi sio vitisho.

Kama hamfanyi majukumu yenu unategemea huyo mwanamke atulie kwa misingi ipi?

Kesho ntaongelea wanawake, wanaume msimaindi sana.
Aisee...
Umesikika..
 
Wanaume kama kweli huo wivu ni upendo onyesheni mapenzi sio vitisho.

Kama hamfanyi majukumu yenu unategemea huyo mwanamke atulie kwa misingi ipi?

Jiwe gizani
Mkuu,kuna wanawake wanavichwa vya moto mno,yan anahudumiwa,anapendwa halafu unamchakata vizuri lakn bado anaweka kandege kwenye simu..
HUYU BILA VITISHO,KIPIGO NA KUUWAWA HUWA HAELEWI..NA MIMI NTAWAPIGA TU
 
Kama huwezi kutulia kwenye ndoa sio lazima uingie kwenye ndoa, simply like that.
 
Nyinyi wanawake mnataka umalaya wenu iwe kama haki kwa kigezo cha wanaume hawapo romantic
sasa nawaambia mtakuja kufa kweli na visa vipo vingi shenzi nyinyi
ukiolewa tulia na mumeo hata kama ana nyumba ndogo 20
Nyumba ndogo 20 utaweza? Wakati mke mmoja kakushinda kuudumia.
 
Kuna baadhi ya wanaume wanatabia ya kutishia kifo kwa wapenzi au hata wake zao.

Unakuta mwanaume anamwambia mpenzi wake ukichepuka ntakuua..
Halafu bahati mbaya asilimia kubwa wanaosema hivyo ni wachepukaji wazuri na unakuta ameshafumaniwa zaidi ya mara moja.

Huyo huyo mwanaume hafanyi majukumu yake Kama mume au mpenzi.
Mnyanyasaji, hamsaport mke, mkifika nyumbani hakuna story, hakuna huge Wala kiss, anadai kachoka. Mnafanya tu tendo kama wajibu na sio kuburudishana.
Huwezi hata kumsifia mkeo akipendeza unaacha wahuni wamsifie kaka utakuja kupigwa na kitu kizito alafu ufanye huo ukatili sijui hao watoto mnawaacha kwenye mazingira gani.

Wanaume kama kweli huo wivu ni upendo onyesheni mapenzi sio vitisho.

Kama hamfanyi majukumu yenu unategemea huyo mwanamke atulie kwa misingi ipi?

Kesho ntaongelea wanawake, wanaume msimaindi sana.
Mama unatishwa?Njoo nikupetpet
 
Kumtishia Mwanamke kumuua ni ishara ya kutojiamini kwa huyo Mwanamume. Kama mwanaume kakamilika mkewe hawezi kua hata na mawazo ya kuchepuka na kama akiwanayo basi mke ni malaya aliejificha.
 
Back
Top Bottom