Godo
JF-Expert Member
- Apr 11, 2017
- 1,089
- 1,468
Kwahiyo dada Judy unaishi maisha ya tamthilia,yale ni maigizo tu[emoji23][emoji23].Sijashindwa lakn nahitaj Yale mapenzi ya dhati kama mwanzo, tunakiss tuna huge Sio naishia kuona kwenye tamthilia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo dada Judy unaishi maisha ya tamthilia,yale ni maigizo tu[emoji23][emoji23].Sijashindwa lakn nahitaj Yale mapenzi ya dhati kama mwanzo, tunakiss tuna huge Sio naishia kuona kwenye tamthilia.
Ngoja nimsifie mleta madaKwa hiyo wahuni wakikusifia tu unaipeleka kupigwa msasa?
Lakn Yale ndio mapnz tulianzanayo kwanini tuishi kienyeji ss eti kisa majukumu.Kwahiyo dada Judy unaishi maisha ya tamthilia,yale ni maigizo tu[emoji23][emoji23].
Ngoja nikiweka pcha utanisifia siunajua filter hazimbagui mtuNgoja nimsifie mleta mada
😀 Weka chapNgoja nikiweka pcha utanisifia siunajua filter hazimbagui mtu
Hapana 😂😀 Weka chap
Mwanangu hiki kizazi tuna mikosi tumeoa madangaji aisee.Nyinyi wanawake mnataka umalaya wenu iwe kama haki kwa kigezo cha wanaume hawapo romantic
sasa nawaambia mtakuja kufa kweli na visa vipo vingi shenzi nyinyi
ukiolewa tulia na mumeo hata kama ana nyumba ndogo 20
NitaonajeHapana 😂
Sawa bossLakini sijawahi sema watishiwe Kuuawa!
Hivi mtu anayetishia kukuua au kujiua unaanzaje kuishi naye?
Huyo ni mwendawazimu
Pole sana kwa mazito unayoyapitia. Hizo ndio changamoto za ndoa. Muombe Mungu atakusaidia dada.Kuna baadhi ya wanaume wanatabia ya kutishia kifo kwa wapenzi au hata wake zao.
Unakuta mwanaume anamwambia mpenzi wake ukichepuka ntakuua.. Halafu bahati mbaya asilimia kubwa wanaosema hivyo ni wachepukaji wazuri na unakuta ameshafumaniwa zaidi ya mara moja.
Huyo huyo mwanaume hafanyi majukumu yake Kama mume au mpenzi. Mnyanyasaji, hamsaport mke, mkifika nyumbani hakuna story, hakuna huge Wala kiss, anadai kachoka. Mnafanya tu tendo kama wajibu na sio kuburudishana.
Huwezi hata kumsifia mkeo akipendeza unaacha wahuni wamsifie kaka utakuja kupigwa na kitu kizito alafu ufanye huo ukatili sijui hao watoto mnawaacha kwenye mazingira gani.
Wanaume kama kweli huo wivu ni upendo onyesheni mapenzi sio vitisho. Kama hamfanyi majukumu yenu unategemea huyo mwanamke atulie kwa misingi ipi?
Kesho ntaongelea wanawake, wanaume msimaindi sana.
MO11Nyinyi wanawake mnataka umalaya wenu iwe kama haki kwa kigezo cha wanaume hawapo romantic
sasa nawaambia mtakuja kufa kweli na visa vipo vingi shenzi nyinyi
ukiolewa tulia na mumeo hata kama ana nyumba ndogo 20
😂😂😂Mna-kiss na ku-hug,huh?Sijashindwa lakn nahitaj Yale mapenzi ya dhati kama mwanzo, tunakiss tuna huge Sio naishia kuona kwenye tamthilia.
Sijashindwa lakn nahitaj Yale mapenzi ya dhati kama mwanzo, tunakiss tuna huge Sio naishia kuona kwenye tamthilia.
ZuleykhaMO11
Usikimbie Mkuu…tushirikiane kwenye hii mada..Nitarudi..
Nakuja sio mda mrefu mkuu..Usikimbie Mkuu…tushirikiane kwenye hii mada..