Wanaume: Vitisho haviimarishi mahusiano

Sijashindwa lakn nahitaj Yale mapenzi ya dhati kama mwanzo, tunakiss tuna huge Sio naishia kuona kwenye tamthilia.
Kwahiyo dada Judy unaishi maisha ya tamthilia,yale ni maigizo tu[emoji23][emoji23].
 
Nyinyi wanawake mnataka umalaya wenu iwe kama haki kwa kigezo cha wanaume hawapo romantic
sasa nawaambia mtakuja kufa kweli na visa vipo vingi shenzi nyinyi
ukiolewa tulia na mumeo hata kama ana nyumba ndogo 20
Mwanangu hiki kizazi tuna mikosi tumeoa madangaji aisee.
 
Pole sana kwa mazito unayoyapitia. Hizo ndio changamoto za ndoa. Muombe Mungu atakusaidia dada.
 
Nyinyi wanawake mnataka umalaya wenu iwe kama haki kwa kigezo cha wanaume hawapo romantic
sasa nawaambia mtakuja kufa kweli na visa vipo vingi shenzi nyinyi
ukiolewa tulia na mumeo hata kama ana nyumba ndogo 20
MO11
 
Kila mtu afanye wajibu wake kwenye ndoa..ukiamua kuchepuka mbususu ni yako
 
Sijashindwa lakn nahitaj Yale mapenzi ya dhati kama mwanzo, tunakiss tuna huge Sio naishia kuona kwenye tamthilia.

Yan wanawake mnapendaga vitu vya kijinga kinoma..sa kiss na hug ndio nini???kama unakula na kuvaa na unakazwa inatosha bhn Wanaume tuna mambo mengi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…