Wanaume wa Arusha

kuna ukweli hapa, hata manzi za chuga wako ivo.

cc: joseverest
Tena manzi za chuga ndio balaa kabisa,sasa kuna klabu moja ya muziki inaitwa Babylon hapo chuga kuna mzaramo mmoja alitoka bongo anapenda starehe mbaya si akazama club Mara DJ akanza kusema mikono juu mikono juu mzaramo si akanogewa anacheza nakidemu huku akiruka zile za ungalelo kuja kujisachi hana hata shilingi akumi zimepitiwaa na mamanzi wa chuga
 
Nikajua na wenyewe wamekuwa kama wa dasalamu!!!!
 
borA sifa yao kuliko ya wanaume wa dar
 
[emoji2] [emoji2] mademu wa mikoani bhana. Hapo kajiona mjanja kinoma wakati wenzao wa dar hawasubiri dj aseme mikono juu na kamwe wewe mtoto wa mkoani hautojua uliibiwa vp. Huku dar unatengenezewa mazingira ya kutoa haina haja ya kutumia nguvu yote hiyo.
NB: wanaume wa dar tunajua kupenda na tunajua kuhonga si ajabu huyo dada yako wa mkoani alihongwa akahisi ameimuibia. Karibu Tanzania Dar es salaam.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…