Wanaume wa Dar acheni tabia ya kunywa beer ndogo ndogo

Muzine

JF-Expert Member
Joined
May 4, 2017
Posts
32,366
Reaction score
60,453


Jaman sehemu zote za starehe nilizopita Dar wanaume wote wa Dar wanakunywa vibia vidogo dogo vya 1500.
Kama vile serengeti lite ,serengeti ndogo ,safar ndogo,kilimanjaro ndogo ,castel lager ndogo .

Wengine sasa wanakunywa savvana ,dompo, castel lite.

Wanaume wa dar mkija mikoani mtaweza bear zetu.

Bia za mikoani ni Balimi,Senetar na castel lager kubwa bila kusahau mizinga ya konyagi .

Wanaume wa dar hawana tofaut na dada zao .
 
Ni "beer" na sio "bear". Harafu hamna utafauti hapo. labda muhudumu tu ndo ataenda trip nyingi za kuleta hizo beer.
 
Japo mimi sio wa dar ila kwa sasa tunapima unapata mls ngapi na kwa bei gani, nikinunua kubwa naona wananipunja.
Wazalishaji wa bia wakiona hii comment yako wanacheka kweli kimya kimya!

Kimsingi, bia ndogo unapunjwa!
 
Wazalishaji wa bia wakiona hii comment yako wanacheka kweli kimya kimya!

Kimsingi, bia ndogo unapunjwa!
Hapana ndugu watu tunaishi kwa mahesabu nipo sahihi kabisa. Ngoja nikupe ukokotozi wangu kidogo.
Bia ninayokunywa ndogo ni sh 1500 ambapo nikinywa 4 ni sawa na mililita 1500 napata kwa bei ya sh 6000.
Ikiwa nikinywa kubwa 3 ambazo nazo ni sawa na ujazo wa mililita 1500 ni sawa na kulipa sh 7500. Sasa hapo huoni kwamba mie nabaki na salio la 1500 kwa kula bia ndogo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…