Wanaume wa Dar acheni tabia ya kunywa beer ndogo ndogo

Wanaume wa Dar acheni tabia ya kunywa beer ndogo ndogo

Wanaume wengi wa dar asilimia kuwa wanamagari hivyo hawana tabia ya kuzikomoa pombe maana kunywa alafu wanaendesha gari
Daladala zinajaa,mwendo kasi unajaa,treni ya mwakyembe inajaa. Hayo magari yako wapi.
 
2fe8ea123fd41811bd0efec861c4f73d.jpg


Jaman sehemu zote za starehe nilizopita Dar wanaume wote wa Dar wanakunywa vibia vidogo dogo vya 1500.
Kama vile serengeti lite ,serengeti ndogo ,safar ndogo,kilimanjaro ndogo ,castel lager ndogo .

Wengine sasa wanakunywa savvana ,dompo, castel lite.

Wanaume wa dar mkija mikoani mtaweza bear zetu.

Bia za mikoani ni Balimi,Senetar na castel lager kubwa bila kusahau mizinga ya konyagi .

Wanaume wa dar hawana tofaut na dada zao .
Ukiwapigia simu wanakuja na magari ya kuazima wakishakunywa beer NNE wanakupiga mzinga wa ten. Wahuni wengi
 
2fe8ea123fd41811bd0efec861c4f73d.jpg


Jaman sehemu zote za starehe nilizopita Dar wanaume wote wa Dar wanakunywa vibia vidogo dogo vya 1500.
Kama vile serengeti lite ,serengeti ndogo ,safar ndogo,kilimanjaro ndogo ,castel lager ndogo .

Wengine sasa wanakunywa savvana ,dompo, castel lite.

Wanaume wa dar mkija mikoani mtaweza bear zetu.

Bia za mikoani ni Balimi,Senetar na castel lager kubwa bila kusahau mizinga ya konyagi .

Wanaume wa dar hawana tofaut na dada zao .
Kwa nini wa mikoani mnakuwa na miwowo kuliko dada zenu na mkija Dar mnageuzwa vyakla?
 
Back
Top Bottom