Wewe unamsahihisha mtu kiingereza wakati wewe mwenyewe kiswahili hujui kuandika: sio harafu ni halafu. Naona unatokea ile mikoa yenye shida ya r na l.Ni "beer" na sio "bear". Harafu hamna utafauti hapo. labda muhudumu tu ndo ataenda trip nyingi za kuleta hizo beer.
Kuna mtu keshasahihisha hapo juu. unatujazia sevaWewe unamsahihisha mtu kiingereza wakati wewe mwenyewe kiswahili hujui kuandika: sio harafu ni halafu. Naona unatokea ile mikoa yenye shida ya r na l.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]wanaume wa dar mna kasoro kibaoWatu wa porini washamba sana,ipo siku watakuambia wanaume wa dar acheni kutumia misimu mikubwa na ya gharama tumieni tecno y3 kama wa porini
Kunywa bia bila kulewa ni sawa na kusafiri usifike unakokwenda.Kama hutaki kulewa kunywa soda!Ushamba ni, kunywa bia ujikomoe, kunywa bia sio ulewe bali ,ufurai na kuenjoy
Heineken for life
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]wa mikoani tunajulikana tunakunywa bia ndo maana dar huwez kuta plisner wala egle[emoji126] [emoji126] [emoji126] [emoji126]Tatizo watu wa mikoani mmezoea quantity na sio quality alafu ndio mnaotuambukiza mapombe ya ajabu ajabu ajabu. Wenye viwanda wametengeza beer kulinga na ulevi wa mikoa yenu. Angalia Mbeya mlivyojaziwa Bingwa. Ni kwa sababu mapombe ya Zambia yalikuwa yanawaaribu vichwa. Wasukuma ndio ndio mmetuletea balaa la Balimi. Msijaribi kutusogezea Eagle kama mlivyofanya kutuletea Plisner ambayo ukinywa mate yanajaa mdomoni. Ndugu zangu wachaga na Eagle dark zenu sasa. Duuh.
Tuacheni bwana tunywe kibosi. Beer yako ndogo, Glass kubwa ukimimina beer inaisha yote then unakunywa kiistaarabu.
Ila shikamoo Serengeti Lite, ulichomfanyia Castle lite sio poa kabisa. Umempoteza vibaya sana
Dodoma umeshaondokaNipo mkoa huuu nilioandikia uziii
Hivi sasa ni vyombo sio beer!Kuna tofauti kati ya BEAR na BEER.....An animal and drink respectively njoo tuendeleze weekend
View attachment 652501
Asante kwa marekebisho nimeshalewa mzinga wa nyagi