Mkuu ile kirikuu ya balimi sio beer ile ni bangeVirukuu vitamu.mpaka balimi katoa Kirukuu..vyuma vimekaza.
Daladala zinajaa,mwendo kasi unajaa,treni ya mwakyembe inajaa. Hayo magari yako wapi.Wanaume wengi wa dar asilimia kuwa wanamagari hivyo hawana tabia ya kuzikomoa pombe maana kunywa alafu wanaendesha gari
Mambo yanguuuuuuuuuuuuuuuuuu uwiii safiiiiiKuna tofauti kati ya BEAR na BEER.....An animal and drink respectively njoo tuendeleze weekend
View attachment 652501
Umechelewa, ningekualika XmasMambo yanguuuuuuuuuuuuuuuuuu uwiii safiiiii
Ni halafu sio harafuNi "beer" na sio "bear". Harafu hamna utafauti hapo. labda muhudumu tu ndo ataenda trip nyingi za kuleta hizo beer.
Walisema wenzako kitambo. Acha bangeNi halafu sio harafu
Ni utofauti sio utafauti
Ukiwapigia simu wanakuja na magari ya kuazima wakishakunywa beer NNE wanakupiga mzinga wa ten. Wahuni wengi
Jaman sehemu zote za starehe nilizopita Dar wanaume wote wa Dar wanakunywa vibia vidogo dogo vya 1500.
Kama vile serengeti lite ,serengeti ndogo ,safar ndogo,kilimanjaro ndogo ,castel lager ndogo .
Wengine sasa wanakunywa savvana ,dompo, castel lite.
Wanaume wa dar mkija mikoani mtaweza bear zetu.
Bia za mikoani ni Balimi,Senetar na castel lager kubwa bila kusahau mizinga ya konyagi .
Wanaume wa dar hawana tofaut na dada zao .
Mkuu Torvic[emoji15] [emoji15] [emoji15] Ni vyooombo[emoji103]Hivi sasa ni vyombo sio beer!
One for the road!
Kwa nini wa mikoani mnakuwa na miwowo kuliko dada zenu na mkija Dar mnageuzwa vyakla?
Jaman sehemu zote za starehe nilizopita Dar wanaume wote wa Dar wanakunywa vibia vidogo dogo vya 1500.
Kama vile serengeti lite ,serengeti ndogo ,safar ndogo,kilimanjaro ndogo ,castel lager ndogo .
Wengine sasa wanakunywa savvana ,dompo, castel lite.
Wanaume wa dar mkija mikoani mtaweza bear zetu.
Bia za mikoani ni Balimi,Senetar na castel lager kubwa bila kusahau mizinga ya konyagi .
Wanaume wa dar hawana tofaut na dada zao .
Mwaka mpya itapendeza zaidi..nipatie direction tu na mudaUmechelewa, ningekualika Xmas
Jiandae.Mwaka mpya itapendeza zaidi..nipatie direction tu na muda
Utakua mwanaume wa dar wewe [emoji34][emoji34][emoji34]Kama hujui kampuni zote za beer zimehamia kutengeneza bia ndogo...nyie mmezoea pombe za kupima kwny bakuli endeleeni tu