Mndali ndanyelakakomu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2016
- 13,998
- 31,757
Hela inauzwa fafanua kidogo hapoSasa bro, maisha kua juu na ushamba mbona ni vitu viwili tofauti??? lol
kumbuka Dar hakuna mashamba ndio maana kila kitu wananunua ila usisahau pia hapa mjini ukilala na njaa umependa coz hadi hela inauzwa... hahahaha
Sent from my Siemens kidole juu using JamiiForum mobile app.
Aah shemeji mbona hiyo karibu haijashiba?Aiseeee hongera kwa kufika dar......karibu tena
Tena hapo nimejitahidi sana maana amewadhalilisha mababy zetuAah shemeji mbona hiyo karibu haijashiba?
Kwa usawa huu wa magu?Bulungutu ndo 150000?
Tena na silver zilibaki..umekariri kila kitu kina bei huko kijijini kwenu?Yaaan kujimek kooote kumbe bajet ni 150k duuuh!!?
Yaan nkibakiwa na hyo pesa natulia zng tu hom maana hata confidence huwa inapungua
Lol.... hujawahi kusikia biashara ya chenji?? vijana wanawauzia makondakta chenji.Hela inauzwa fafanua kidogo hapo
Mi najua hapo hamna mashamba ndo maana hawaezi kuwa na chakula cha kutosha kama sisi wa mkoani
Hahaha! mkuu we acha tu ile kitu haijawai muacha mtu salamadaaah nimejaribu kuvuta picha ya kile ki harufu mwanana cha roast ya noah mpaka udenda umenitoka kusema kweli
Kununua nguo dar ulikuwa zamani sana kwa sasa wafanya biashara wa mikoani wanaenda Dubai na ndo wanatuletea huku ukikuta mfanya biashara anakuja kujumua mzigo dar ujue hiyo bado hana mtaji wa uhakikaLol.... hujawahi kusikia biashara ya chenji?? vijana wanawauzia makondakta chenji.
Na nyie hivyo vyakula bila kuja kuuza huku mtapata wapi pesa??? na mbona nguo za kununua mnakuja huku pia.
Sent from my Siemens kidole juu using JamiiForum mobile app.
Mkuu soma huelewe basiii..! Hyo tuliisaka kwa mda Wa kamwezi tu tena hyo 150k ni sehemu tu ya tulioipata na ujue kila mtu alikua na 150 yake150K Yani Umejipanga Toka January Mpaka Leo Na Hapo Umejipinda Kweliii But Muda Huu Mpo Kwenye Ndinga Kurudi Kolomije Mmekula Urefu Wa Kamba Yenu Dar Kubwa Karibuni Tena Muinue Uchumi Wa Dada Zetu ....
★★ "BONVOYAGE★★
Sent using Jamii Forums mobile app
Lol..... itakua unazungumzia wa morogoro ila poa bro kubali kataa Dar ndio mambo yote... unaona vile vijana wanajichanga jus kuja kuiona dar wanaridhika.Kununua nguo dar ulikuwa zamani sana kwa sasa wafanya biashara wa mikoani wanaenda Dubai na ndo wanatuletea huku ukikuta mfanya biashara anakuja kujumua mzigo dar ujue hiyo bado hana mtaji wa uhakika