Wanaume wa Dar, Hodiiii.....!!!!.

Wanaume wa Dar, Hodiiii.....!!!!.

Nishaanza kupata data za Utafiti wangu, Yaani "Wanaume wa Dar ",mbona wavivu sana,why?.yaani asubuhi mapema watu wamejazana vijiweni kupiga stori, kazi zinafanywa saa ngapi?. Kwa hali hii wacha maisha yaendelee kuwa magumu tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Endelea kufuatilia maisha ya watu. Mwanaume wewe.
 
Vyote ulivovitaja vinatoka mikoani.kuanzia wanawake,ng'ombe na viazi mpaka ndizi.asa sijui unaongelea kitu gani thatha!!!!unaandika kiuwoga woga kama nakudai figo.
Thubutu yako!!!!.Mimi nitabaki kuwa Mwanaume Lijali wa mkoani. Yaani watoto wazuri wa Dar ninyi mnawaacha tu!!, kwa Kweli hamuwatendei haki dada zetu. Mnakula Sana Machips, Manyama choma,n.k.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom