slimdaddy 1993
JF-Expert Member
- Jan 1, 2019
- 212
- 138
haahahUkizibuliwa mitaro uende cherekochereko ya tbc ukatoe ushuhuda
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
haahahUkizibuliwa mitaro uende cherekochereko ya tbc ukatoe ushuhuda
Hiyo siyo hoja, ishu ni hii, "Kwanini Wanaume wa Dar mmeshindwa kuzingatia Matumizi??? ".Matharani Kuna watoto wazuri wa kike ambao Ninyi mnawatazama tu!!!, Viazi vinatoka Mikoani, sawa!!!, Lkn Kwanini ufakamie Machips na Manyama choma bila Utaratibu??. Huko si kutafuta lawama kwa Watoto wa kike kweli?!!!. Nakwambia Vijana wa Kutoka Mikoani tutawatafuna Sana Hao Wanawake wenu,maana Mmezidi kuwa wazembe.Vyote ulivovitaja vinatoka mikoani.kuanzia wanawake,ng'ombe na viazi mpaka ndizi.asa sijui unaongelea kitu gani thatha!!!!unaandika kiuwoga woga kama nakudai figo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hizo ni Ndoto.Mkuu kama ushaingia dar...baada ya week mbili tiyari nawewe utakua mwanaume wa dar
Siku hizi wanaojinyonga sio wa Iringa tu. Hata Makabila mengine wanajinyonga piaJamaa wa Iringa usijejinyonga hapa mjini unaloambiwa changanya na lako.
Sent using Jamii Forums mobile app
Umekuja na hii kitu maana mmezindua kiwanda. Umewaletea dada zakoSiku hizi wanaojinyonga sio wa Iringa tu. Hata Makabila mengine wanajinyonga pia
Sent using Jamii Forums mobile app
🙄😳😂😂😂😂Umekuja na hii kitu maana mmezindua kiwanda. Umewaletea dada zakoView attachment 1074128
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanaume wenzangu Kutoka Dar, mnatia aibu sana ,Ninyi ndo mmesababisha Wanawake watudharau Wanaume, sasa lengo hapa ni kutafiti kujua Shida Iko wapi, kisha nitawapa Ushauri unaolenga kutibu tatizo hilo. Dar kuna Watoto Wengi wazuri, Lkn mmeshindwa kuwatendea haki.Duh!! Mkuu ww ni me ama ni ke!! Km ni me unatakaje kufanya utafiti juu ya perfomance ya me mwenzio kunako sita kwa sita isije kuwa nawe ukawa tekno thate thirii.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu hapaLeo nimeingia Jijini Dasalam, I'm interested kuwaona hawa Wanaoitwa "Wanaume wa Dar ".Ninataka kufanya Utafiti kujua Ukweli wa tuhuma wanazopewa km vile Uoga, Performance ndogo kwenye ule Utaratibu wetu, n.k.
Sent using Jamii Forums mobile app
Zinakwenda Dar, Kumaliza kiu ya wanawake mlioshindwa kuwahudumia.Umekuja na hii kitu maana mmezindua kiwanda. Umewaletea dada zakoView attachment 1074128
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu hapaZinakwenda Dar, Kumaliza kiu ya wanawake mlioshindwa kuwahudumia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Happy kwenye performance ndio tunapataka uje tukutindueLeo nimeingia Jijini Dasalam, I'm interested kuwaona hawa Wanaoitwa "Wanaume wa Dar ".Ninataka kufanya Utafiti kujua Ukweli wa tuhuma wanazopewa km vile Uoga, Performance ndogo kwenye ule Utaratibu wetu, n.k.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwenye Performance Hakuna Shida, Nimeanza kulijua hilo kupitia Wake zenu, Hao ndio wanatoa Ukweli wote, kuwa "Wanaume wa Dar ",wana Shida.Happy kwenye performance ndio tunapataka uje tukutindue
muhogo,nazi,karanga tende,asali
Hiyo siyo hoja, ishu ni hii, "Kwanini Wanaume wa Dar mmeshindwa kuzingatia Matumizi??? ".Matharani Kuna watoto wazuri wa kike ambao Ninyi mnawatazama tu!!!, Viazi vinatoka Mikoani, sawa!!!, Lkn Kwanini ufakamie Machips na Manyama choma bila Utaratibu??. Huko si kutafuta lawama kwa Watoto wa kike kweli?!!!. Nakwambia Vijana wa Kutoka Mikoani tutawatafuna Sana Hao Wanawake wenu,maana Mmezidi kuwa wazembe.
Sent using Jamii Forums mobile app
kwa hiyo utawapa uone pafomansi?Leo nimeingia Jijini Dasalam, I'm interested kuwaona hawa Wanaoitwa "Wanaume wa Dar ".Ninataka kufanya Utafiti kujua Ukweli wa tuhuma wanazopewa km vile Uoga, Performance ndogo kwenye ule Utaratibu wetu, n.k.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanaume wenzangu Kutoka Dar, mnatia aibu sana ,Ninyi ndo mmesababisha Wanawake watudharau Wanaume, sasa lengo hapa ni kutafiti kujua Shida Iko wapi, kisha nitawapa Ushauri unaolenga kutibu tatizo hilo. Dar kuna Watoto Wengi wazuri, Lkn mmeshindwa kuwatendea haki.
Sent using Jamii Forums mobile app