Wanaume wa Dar motoni moja kwa moja

Wanaume wa Dar motoni moja kwa moja

Miss Natafuta

JF-Expert Member
Joined
Sep 16, 2015
Posts
27,031
Reaction score
49,928
Ulitaka kuingia kwenye mahusiano na mwanaume wa Dar

Mkaka: Dada nimekupenda niko serious nataka mke

Mdada: Sawa tu niko tayari

Mkaka : Baby una mtoto?

Mdada; Sina baby, wewe unae?

Mkaka: Ndio mpenzi ninao wawili, ukinizalia watatu inanitosha.

Mdada: Ooh hongera sana. Wanao wako wapi?

Mkaka: Wako na mama zao

Mdada: Ok

Mkaka: Sasa utakuja lini baby nikupe mimba,nimechoka kweli kuishi peke yangu

Mdada: Tutaishi bila ndoa

Mkaka: Ndoa baby ni sisi wawili tukishakaa tutafunga mbeleni huko

Hivi haya mahusiano yatahusu nini zaidi ya kuload baby mama no 3?

Ila cha ajabu kuna wanawake wanajipeleka tu eneo kama hilo.

Wanaume acheni kuzaa zaa ovyo.mnafanya maisha magumu.

Wa kuoa utakuwa wewe?
 
Ulitaka kuingia kwenye mahusiano na mwanaume wa dar
Mkaka: Dada nimekupenda niko serious nataka mke...
Hivi haya mahusiano yatahusu nini zaidi ya kuload baby mama no 3,??

Ila cha ajabu kuna wanawake wanajipeleka tu eneo kama hilo

Wanaume acheni kuzaa zaa ovyo.mnafanya maisha magumu

Wa kuoa utakuwa wewe???
 
Ulitaka kuingia kwenye mahusiano na mwanaume wa dar
Mkaka: Dada nimekupenda niko serious nataka mke

Mdada: Sawa tu niko tayari

Mkaka : Baby una mtoto?

Mdada; Sina baby, wewe unae?

Mkaka: Ndio mpenzi ninao wawili, ukinizalia watatu inanitosha.

Mdada: Ooh hongera sana. Wanao wako wapi?

Mkaka: Wako na mama zao

Mdada: Ok

Mkaka: sasa utakuja lini baby nikupe mimba,nimechoka kweli kuishi peke yangu

Mdada : tutaishi bila ndoa

Mkaka: ndoa baby ni sisi wawili.tukishakaa tutafunga mbeleni huko



Hivi haya mahusiano yatahusu nini zaidi ya kuload baby mama no 3,??
Ila cha ajabu kuna wanawake wanajipeleka tu eneo kama hilo
Wanaume acheni kuzaa zaa ovyo.mnafanya maisha magumu
Wa kuoa utakuwa wewe???
Hivi haya mahusiano yatahusu nini zaidi ya kuload baby mama no 3,??
Ila cha ajabu kuna wanawake wanajipeleka tu eneo kama hilo
Wanaume acheni kuzaa zaa ovyo.mnafanya maisha magumu
Wa kuoa utakuwa wewe???
 
Tatizo Dar kuna wanawake wengi wametoka mikoani wamekuja Dar kutafuta kwa hiyo ukimtongoza tu nakujua unapoishi atakuja na mabegi yake kuweka makazi NYIE WANAWAKE WA MIKOANI NDIO MNAZINGUA
 
Ulitaka kuingia kwenye mahusiano na mwanaume wa Dar

Mkaka: Dada nimekupenda niko serious nataka mke

Mdada: Sawa tu niko tayari

Mkaka : Baby una mtoto?

Mdada; Sina baby, wewe unae?

Mkaka: Ndio mpenzi ninao wawili, ukinizalia watatu inanitosha.

Mdada: Ooh hongera sana. Wanao wako wapi?

Mkaka: Wako na mama zao

Mdada: Ok

Mkaka: Sasa utakuja lini baby nikupe mimba,nimechoka kweli kuishi peke yangu

Mdada: Tutaishi bila ndoa

Mkaka: Ndoa baby ni sisi wawili tukishakaa tutafunga mbeleni huko

Hivi haya mahusiano yatahusu nini zaidi ya kuload baby mama no 3?

Ila cha ajabu kuna wanawake wanajipeleka tu eneo kama hilo.

Wanaume acheni kuzaa zaa ovyo.mnafanya maisha magumu.

Wa kuoa utakuwa wewe?
Singo mama hujambo
 
Back
Top Bottom