Wanaume wa Dar motoni moja kwa moja

Wanaume wa Dar motoni moja kwa moja

Hapo mwisho KWenye ndoa bby tutafunga baada yakuishi pmj!!hyo ndio dhambi niliyonayo kwakwel japo czalishii binti wa mtu zaidi yakujilia mbususu nakusepa,x mama mtt wangu ulaaniwe uko ulipo ,ulinitelekezea mtt wa miezi mitatu nakukimbia kusikojulikana mpk leo nakunifanya nisiamini ktk mapenz tenaa,leo mtt ananita baba hapo hapo tena ananiita mama ,mambo gan haya nyinyi wanawakeee,
 
Hapo mwisho KWenye ndoa bby tutafunga baada yakuishi pmj!!hyo ndio dhambi niliyonayo kwakwel japo czalishii binti wa mtu zaidi yakujilia mbususu nakusepa,x mama mtt wangu ulaaniwe uko ulipo ,ulinitelekezea mtt wa miezi mitatu nakukimbia kusikojulikana mpk leo nakunifanya nisiamini ktk mapenz tenaa,leo mtt ananita baba hapo hapo tena ananiita mama ,mambo gan haya nyinyi wanawakeee,
Ahahaaa pole lea huko
 
Hapo mwisho KWenye ndoa bby tutafunga baada yakuishi pmj!!hyo ndio dhambi niliyonayo kwakwel japo czalishii binti wa mtu zaidi yakujilia mbususu nakusepa,x mama mtt wangu ulaaniwe uko ulipo ,ulinitelekezea mtt wa miezi mitatu nakukimbia kusikojulikana mpk leo nakunifanya nisiamini ktk mapenz tenaa,leo mtt ananita baba hapo hapo tena ananiita mama ,mambo gan haya nyinyi wanawakeee,
Mtoto wa miezi mitatu...?? Ulimfanya nini??
 
Ulitaka kuingia kwenye mahusiano na mwanaume wa Dar

Mkaka: Dada nimekupenda niko serious nataka mke

Mdada: Sawa tu niko tayari

Mkaka : Baby una mtoto?

Mdada; Sina baby, wewe unae?

Mkaka: Ndio mpenzi ninao wawili, ukinizalia watatu inanitosha.

Mdada: Ooh hongera sana. Wanao wako wapi?

Mkaka: Wako na mama zao

Mdada: Ok

Mkaka: Sasa utakuja lini baby nikupe mimba,nimechoka kweli kuishi peke yangu

Mdada: Tutaishi bila ndoa

Mkaka: Ndoa baby ni sisi wawili tukishakaa tutafunga mbeleni huko

Hivi haya mahusiano yatahusu nini zaidi ya kuload baby mama no 3?

Ila cha ajabu kuna wanawake wanajipeleka tu eneo kama hilo.

Wanaume acheni kuzaa zaa ovyo.mnafanya maisha magumu.

Wa kuoa utakuwa wewe?
Tumetumwa kujaza dunia
 
Mtoto wa miezi mitatu...?? Ulimfanya nini??
Nilipambanaa nayeeee KWA msaada wa dogo langu la kikee haki mungu amesimama naye now day ana miaka sita ,na rotii za hospital hazikukaukaa ilaa god is good
 
Ulitaka kuingia kwenye mahusiano na mwanaume wa Dar

Mkaka: Dada nimekupenda niko serious nataka mke

Mdada: Sawa tu niko tayari

Mkaka : Baby una mtoto?

Mdada; Sina baby, wewe unae?

Mkaka: Ndio mpenzi ninao wawili, ukinizalia watatu inanitosha.

Mdada: Ooh hongera sana. Wanao wako wapi?

Mkaka: Wako na mama zao

Mdada: Ok

Mkaka: Sasa utakuja lini baby nikupe mimba,nimechoka kweli kuishi peke yangu

Mdada: Tutaishi bila ndoa

Mkaka: Ndoa baby ni sisi wawili tukishakaa tutafunga mbeleni huko

Hivi haya mahusiano yatahusu nini zaidi ya kuload baby mama no 3?

Ila cha ajabu kuna wanawake wanajipeleka tu eneo kama hilo.

Wanaume acheni kuzaa zaa ovyo.mnafanya maisha magumu.

Wa kuoa utakuwa wewe?
Sasa ulitaka niweke kambi ya nini na tayari watoto ninao
 
Ulitaka kuingia kwenye mahusiano na mwanaume wa Dar

Mkaka: Dada nimekupenda niko serious nataka mke

Mdada: Sawa tu niko tayari

Mkaka : Baby una mtoto?

Mdada; Sina baby, wewe unae?

Mkaka: Ndio mpenzi ninao wawili, ukinizalia watatu inanitosha.

Mdada: Ooh hongera sana. Wanao wako wapi?

Mkaka: Wako na mama zao

Mdada: Ok

Mkaka: Sasa utakuja lini baby nikupe mimba,nimechoka kweli kuishi peke yangu

Mdada: Tutaishi bila ndoa

Mkaka: Ndoa baby ni sisi wawili tukishakaa tutafunga mbeleni huko

Hivi haya mahusiano yatahusu nini zaidi ya kuload baby mama no 3?

Ila cha ajabu kuna wanawake wanajipeleka tu eneo kama hilo.

Wanaume acheni kuzaa zaa ovyo.mnafanya maisha magumu.

Wa kuoa utakuwa wewe?
Si huwa mnapenda bad boys?
 
Back
Top Bottom