Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Pole kwa mimba..[emoji16]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwani mkizidiwa ujanja huwa mnasema basi.[emoji16]
Unamauzi sana wewe.🤨[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kivipi hebu nambie brohz angu mwenyewe [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unamauzi sana wewe.[emoji2955]
Ulichokifanya unajua tu inakera kinyama😑Kivipi hebu nambie brohz angu mwenyewe [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaani ndio umeamua kuja kuninanga na kunisimangia huku JF?Ulitaka kuingia kwenye mahusiano na mwanaume wa Dar
Mkaka: Dada nimekupenda niko serious nataka mke
Mdada: Sawa tu niko tayari
Mkaka : Baby una mtoto?
Mdada; Sina baby, wewe unae?
Mkaka: Ndio mpenzi ninao wawili, ukinizalia watatu inanitosha.
Mdada: Ooh hongera sana. Wanao wako wapi?
Mkaka: Wako na mama zao
Mdada: Ok
Mkaka: Sasa utakuja lini baby nikupe mimba,nimechoka kweli kuishi peke yangu
Mdada: Tutaishi bila ndoa
Mkaka: Ndoa baby ni sisi wawili tukishakaa tutafunga mbeleni huko
Hivi haya mahusiano yatahusu nini zaidi ya kuload baby mama no 3?
Ila cha ajabu kuna wanawake wanajipeleka tu eneo kama hilo.
Wanaume acheni kuzaa zaa ovyo.mnafanya maisha magumu.
Wa kuoa utakuwa wewe?
Ooooh bas sorry brohz, ntafanya the needful soon yaan. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ulichokifanya unajua tu inakera kinyama[emoji58]
Mwenzetu wewe ni mwamanume wa mikioani au...😂😂😂😂Wanaume wa Dar mkuje mnaitwa huku, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hivi hata najua bas n mwanaume wa wapi? Nipo nipo tyuuh yaan, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mwenzetu wewe ni mwamanume wa mikioani au...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
😔Ooooh bas sorry brohz, ntafanya the needful soon yaan. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji2][emoji2][emoji2]Thubutuuu me mwenyewe muhuni
Sometimes huwa naona wanawake ile kuwa na watoto wanaichukulia kama faraja yaan anajikumbusha enzi zile alovyokuwa anachezea matoy ya watoto
Wanawake wanapenda kuzaa sana,pasipo kujali mazingira waliyonayo
Sasa kama n maisha,bas atumie njia za kuzuia mimba akiwa anarekebisha hayo maishaWengine siyo akili zao ni Maisha tuu