Wanaume wa Dar motoni moja kwa moja

Single mothers watakuwa wengi sana baadae hapo huyo mwanamke atamchek jamaa nirushie 50k sijui ya kodi ili kuprove kama anapendwa kweli then atatumiwa hapo kanasa

Anaenda kutanua miguu anawekwa mimba tayar Kawa used hatoelewa
 
Wanaume wa Dar mkuje mnaitwa huku, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Yaani ndio umeamua kuja kuninanga na kunisimangia huku JF?
 
Kama wewe ni mtu mzima na ulishakuwa na watoto tayari; ujue kila utakayekutana naye kwenye mahusiano atakuwa ni wa kampani tu. Mambo ya kuongeza watoto yatakuwa ni makubaliano binafsi.
 
Hayo ndio matatizo ya Kuchugua mume vibaya.

Afu tufanye hivi ... Kuolewa sio lazima, nzao unatafuta hata wawili au mmoja ukitaka mwanamke.
 
Mwenzetu wewe ni mwamanume wa mikioani au...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hivi hata najua bas n mwanaume wa wapi? Nipo nipo tyuuh yaan, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚wanazingua
 
Sometimes huwa naona wanawake ile kuwa na watoto wanaichukulia kama faraja yaan anajikumbusha enzi zile alovyokuwa anachezea matoy ya watoto

Wanawake wanapenda kuzaa sana,pasipo kujali mazingira waliyonayo
 
Wengine siyo akili zao ni Maisha tuu
Sometimes huwa naona wanawake ile kuwa na watoto wanaichukulia kama faraja yaan anajikumbusha enzi zile alovyokuwa anachezea matoy ya watoto

Wanawake wanapenda kuzaa sana,pasipo kujali mazingira waliyonayo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…