Wanaume wa Dar ni bahili, naondoka bila zawadi

Wanaume wa Dar ni bahili, naondoka bila zawadi

cutelove

JF-Expert Member
Joined
Oct 3, 2017
Posts
3,448
Reaction score
7,972
Nilikuwa kwenye ishu zangu hapa Dar, nikakutana na wanaJF 4 pm kwa pamoja wakaniomba tukutane nimewakubalia. Wanaume watatu na mwanamke mmoja, nashukuru kukutana na nyinyi ila nyie ni mabahili hatari, soda Pepsi imagine wanaume watatu. Mje wenyewe kabla sjataja ID zenu.

Asante Dada M ubarikiwe kwa kunijali na kunipa zawadi ya kwenda nayo mkoani.
 
Back
Top Bottom