Wanaume wa Dar ni bahili, naondoka bila zawadi

Wanaume wa Dar ni bahili, naondoka bila zawadi

Nilikuwa kwenye ishu zangu hapa Dar ,nikakutana na wanajf 4 pm kwa pamoja wakaniomba tukutane nimewakubalia ,wanaume watatu na mwanamke mmoja,nashukuru kukutana na nyinyi ila nyie ni mabahiri hatari,soda pepsi imagin wanaume watatu ,mje wenyewe kabla sjataja I'd zenu

Asant Dada M ubarikiwe kwa kunijali na kunipa zawadi ya kwenda nayo mkoani
Hawajakuelewa na shape yako hyo ya kigacha
 
Si wanaume wa Dar, wanaume wote siku tumegundua hivyo hatuko tayari kupigwa makombola na mabom ya Urusi
 
Nilikuwa kwenye ishu zangu hapa Dar ,nikakutana na wanajf 4 pm kwa pamoja wakaniomba tukutane nimewakubalia ,wanaume watatu na mwanamke mmoja,nashukuru kukutana na nyinyi ila nyie ni mabahiri hatari,soda pepsi imagin wanaume watatu ,mje wenyewe kabla sjataja I'd zenu

Asant Dada M ubarikiwe kwa kunijali na kunipa zawadi ya kwenda nayo mkoani
Wewe toka huko mkoani kwako uliwabebea zawadi gani hao wanaume wa dar? Au unachojua wewe ni kupokea tu!?
 
Nilikuwa kwenye ishu zangu hapa Dar, nikakutana na wanaJF 4 pm kwa pamoja wakaniomba tukutane nimewakubalia. Wanaume watatu na mwanamke mmoja, nashukuru kukutana na nyinyi ila nyie ni mabahili hatari, soda Pepsi imagine wanaume watatu. Mje wenyewe kabla sjataja ID zenu.

Asante Dada M ubarikiwe kwa kunijali na kunipa zawadi ya kwenda nayo mkoani.
Hv hiyo pic ni yako kweli ama umechomekea tuanzie hapo!?
 
Nilikuwa kwenye ishu zangu hapa Dar, nikakutana na wanaJF 4 pm kwa pamoja wakaniomba tukutane nimewakubalia. Wanaume watatu na mwanamke mmoja, nashukuru kukutana na nyinyi ila nyie ni mabahili hatari, soda Pepsi imagine wanaume watatu. Mje wenyewe kabla sjataja ID zenu.

Asante Dada M ubarikiwe kwa kunijali na kunipa zawadi ya kwenda nayo mkoani.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]my wangu

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
Nilikuwa kwenye ishu zangu hapa Dar, nikakutana na wanaJF 4 pm kwa pamoja wakaniomba tukutane nimewakubalia. Wanaume watatu na mwanamke mmoja, nashukuru kukutana na nyinyi ila nyie ni mabahili hatari, soda Pepsi imagine wanaume watatu. Mje wenyewe kabla sjataja ID zenu.

Asante Dada M ubarikiwe kwa kunijali na kunipa zawadi ya kwenda nayo mkoani.
inawezekana wameona hailipi kukunulia chochote sababu ya muonekano wako au umedeti na mastudents
 
Duh kwahiyo Bora Yule wa 7800? Hawa wengine hujaambulia hata dala[emoji3061][emoji3061]
 
Back
Top Bottom