Wanaume wa Dar ni bahili, naondoka bila zawadi

Hawajakuelewa na shape yako hyo ya kigacha
 
Si wanaume wa Dar, wanaume wote siku tumegundua hivyo hatuko tayari kupigwa makombola na mabom ya Urusi
 
Wewe toka huko mkoani kwako uliwabebea zawadi gani hao wanaume wa dar? Au unachojua wewe ni kupokea tu!?
 
Hv hiyo pic ni yako kweli ama umechomekea tuanzie hapo!?
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]my wangu

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
inawezekana wameona hailipi kukunulia chochote sababu ya muonekano wako au umedeti na mastudents
 
Duh kwahiyo Bora Yule wa 7800? Hawa wengine hujaambulia hata dala[emoji3061][emoji3061]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…