Donnie Charlie
JF-Expert Member
- Sep 16, 2009
- 16,908
- 19,123
karibu tena darNambie boss
Na huyo mwanamke waliekuwa nae angepewa nini sawa!Na wewe ungewapa mbususu
Labda hujawavutiaNilikuwa kwenye ishu zangu hapa Dar, nikakutana na wanaJF 4 pm kwa pamoja wakaniomba tukutane nimewakubalia. Wanaume watatu na mwanamke mmoja, nashukuru kukutana na nyinyi ila nyie ni mabahili hatari, soda Pepsi imagine wanaume watatu. Mje wenyewe kabla sjataja ID zenu.
Asante Dada M ubarikiwe kwa kunijali na kunipa zawadi ya kwenda nayo mkoani.
😅😅Wasamehe bure..walikua busy na kukimbizana na panyaroad
NaamAwareness imeongezeka kwa kiasi fulani kuhusu wanaume kuona kuhonga ni ushamba na ulimbukeni mkubwa!
Wadangaji wanalalamika kuwa na hali ngumu maana wanauza hawakati tena siku hizi [emoji389][emoji383][emoji384][emoji385][emoji387]
Ujinga wakati wa kwenda [emoji108]
Kurudi werevu [emoji108]