Wanaume wa Dar ni bahili, naondoka bila zawadi

Wasamehe bure..walikua busy na kukimbizana na panyaroad
 
Awareness imeongezeka kwa kiasi fulani kuhusu wanaume kuona kuhonga ni ushamba na ulimbukeni mkubwa!

Wadangaji wanalalamika kuwa na hali ngumu maana wanauza hawakati tena siku hizi [emoji389][emoji383][emoji384][emoji385][emoji387]

Ujinga wakati wa kwenda [emoji108]

Kurudi werevu [emoji108]
 
Labda hujawavutia
 
Naam
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…