Wanaume wa Dar tumechoka kudharaulika!

Wanaume wa Dar tumechoka kudharaulika!

Nachowapendea wanaume wa dar
1.chakula chenu chips mayai
2. Hamuhangaiki na miganda ya miwa mchane fidhi za meno na midomo yenu,nyie juice ya muwa tu. Kamua nyie mwanywa tu.
3.Hamna shida,mwizi akikuibia unasema kamata mwizi,kamata mwizi usipo sikika unaachana nae.
4. Mnanichosha kwa wivu tu,mnataka mfanane na sie dada zenu,mnavaa pedo siku hizi,vibukta vya beach tunapishana navyo barabarani...chaaaa
Kubwa mnaloweza wanaume wa dar ni kuitikia vituo kwa makonda utasikia "shushaaa" kwa sauti kuuuubwaaa ili akikupitisha kituo ukiwashe a.k.a uamshe dude.
Nawapendea hivyo hivyo dear wanaume wa dar.
Cheers to you
Fanya uje uchukue pesa ya vocha aiseeeee......
Leo umeniwezea kwa hawa wanaume wa Dar....[emoji12] [emoji12] [emoji12]
 
Hili swala la kuvaa tubuktwa tufupi kama boxer aseeeh ndio linanushangaza janaumeee zima mapaja nj'e binti naye hivyo hivyo that's why akina kaoge ni wengi
 
Kuna haja yakufanya maandamano kupinga hii imani inayo kuwa kimya kimya
 
  • Thanks
Reactions: Lee
Wanaume wa dar acha tu kaka angu,hawachelewi ukitoka nae geto anakupa elfu 10 mkifika mbele anakuambia babe lipa basi,unatoa kale ka elfu 10 unalipia sahani mbili ya chakula chao pendwa "chips mayai" elfu tano ngwaaaaa inaenda anaagiza na soda etu babe we usinunue,hii pepsi nitapata free soda,akifungua holaaaa anakuta DARE FOR MORE...pespi nao wana waangushaga wanaume wa dar jomoni. Haya hapo utasikia babw chukua na wewe basi. Unajikuta umebakiwa na elfu 4 tu [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] then mnagpnga selfie zenu za kibab hapo,then unaambiwa babe hebu nipe huku kwanza nijiunge bundle nipost picha. Elfu 2 kwendraaaaaaaaaa. Unabakiwa na elfu 2 unapanda zako boda boda unalipia buku unabaki na buku,akikutumia sms hujibu akipiga ukasema huna salio anakuambia si umebakiwa na ela,nunua babe jiunge tuchat.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] wanaume wa dar hamfai kwa chumvi wala sukari,kwa kulumangira wala mchuzi
Dadeekiii wameingiaa kwenye 18 zako walahiii
 
Back
Top Bottom