Wanaume wa Dar wanapotaka kufanya mapenzi wanakuwa na viungo kama wanapika pilau

Wanaume wa Dar wanapotaka kufanya mapenzi wanakuwa na viungo kama wanapika pilau

Wanaume wa Dar wanapofanya mapenzi wanakuwa na viungo kama wanapika pilau.

Mara KY Jelly, condom, mafuta ya massage, Vumbi la Congo, pembeni redbull au roobust, maji makubwa na Konyagi.

Hapo bado hawajala mihogo, karanga mbichi na nazi na supu ya pweza. Bado hawajatafuta chumba chenye AC.

Yaani hapo akikosa kimoja show haikosi visingizio.
Umesahau mchuzi wa pweza,
 
Namsikilizia jakitoo nini mrejesho wake kwa hao waungwana,
Kakaribishwa sehemu naona kama anataka kuitikia wito!

Katumiwa namba prime minister naona anaahidi kumpigia jamaa.
Nimeona
We screenahot tu kwa matumizi ya baadae[emoji23][emoji23]
 
Kuna rafiki yangu kipindi Niko dar alitaka kuniambukiza ujinga eti nitumie michuzi ya pweza
 
Wanaume wa Dar wanapofanya mapenzi wanakuwa na viungo kama wanapika pilau.

Mara KY Jelly, condom, mafuta ya massage, Vumbi la Congo, pembeni redbull au roobust, maji makubwa na Konyagi.

Hapo bado hawajala mihogo, karanga mbichi na nazi na supu ya pweza. Bado hawajatafuta chumba chenye AC.

Yaani hapo akikosa kimoja show haikosi visingizio.
Umesahau juice ya muwa na chokolate wanapaka kwenye katerero walamabe. Kumbafu sana hawa.
 
Back
Top Bottom