Wanaume wa hit and run wanaongezeka kwa kasi ya ajabu mno aisee💔

Wanaume wa hit and run wanaongezeka kwa kasi ya ajabu mno aisee💔

Dada zangu huko kweny vikao vya feminist angalau mkumbushane hapa kweny kukomaaa usitoe penzi mpaka angalau utambulishwe ...How come you become a tool of pleasure watu wanapiga na kusepa .

jaribu kuwa na msimamo wanaune serious wapo ila inategemea na wewe umejiweka vipi.

Tambua :ukiolewa tu automatically unakuwa kama umestirika na pia unapata heshima ila ukiwa muhuni wa kuzaa hovyo kama bata hata uwe na watoto mia unaleta image mbaya kweny jamii yako hata mikosi.

kwa nn mikosi? mnapooana ni kwamba ni jambo linapendezea Mungu hata mizimu yetu pia mnakuwa kama wanadamu mliokamilika na baraka tele lile tendo la kukutana linabadilika kutoka kweny jina "uzinifu" mpaka kuwa "Tendo la ndoa " ambalo ni halali kabisa na haki yenu.
 
Haya mambo hayana fomula

Mimi wife wangu sikua na malengo naye kabisa yani nilivyokua namtongoza nilitaka nipige na kusepa (haikuchukua hata siku tatu baada ya kumtongoza na kunitunuku utamu).

Nilijikuta nimenasa kama boya flani ivi, na mpaka leo maisha yanasonga mbele.

Wanawake wanatumia kigezo cha kunyima utamu na kukitumia kama kipimo cha upendo ila ukweli haupo ivo kabisa
 
😂😂😂🙌
Dada zangu huko kweny vikao vya feminist angalau mkumbushane hapa kweny kukomaaa usitoe penzi mpaka angalau utambulishwe ...How come you become a tool of pleasure watu wanapiga na kusepa .

jaribu kuwa na msimamo wanaune serious wapo ila inategemea na wewe umejiweka vipi.

Tambua :ukiolewa tu automatically unakuwa kama umestirika na pia unapata heshima ila ukiwa muhuni wa kuzaa hovyo kama bata hata uwe na watoto mia unaleta image mbaya kweny jamii yako hata mikosi.

kwa nn mikosi? mnapooana ni kwamba ni jambo linapendezea Mungu hata mizimu yetu pia mnakuwa kama wanadamu mliokamilika na baraka tele lile tendo la kukutana linabadilika kutoka kweny jina "uzinifu" mpaka kuwa "Tendo la ndoa " ambalo ni halali kabisa na haki yenu.
☺️☺️☺️ Umeongea kitu chenye kueleweka sana
 
Haya mambo hayana fomula

Mimi wife wangu sikua na malengo naye kabisa yani nilivyokua namtongoza nilitaka nipige na kusepa (haikuchukua hata siku tatu baada ya kumtongoza na kunitunuku utamu).

Nilijikuta nimenasa kama boya flani ivi, na mpaka leo maisha yanasonga mbele.

Wanawake wanatumia kigezo cha kunyima utamu na kukitumia kama kipimo cha upendo ila ukweli haupo ivo kabisa
Yaah ila atleast wawe wanasubiri Hata Kidogo yaani unakuta mtu siku ya kwanza ametongoza anataka jibu hapo hapo na kesho mkutane mmalizane ... Kuna wengine hawapo kwaajili ya kufanya biashara ya ngono jamani .. mimi nilivyomkwepa huyo jamaa imagine mpaka leo hajanitafuta kwasababu hakupata kile alichokuwa anataka kea wakati ule na pengine ningeenda Hata kuchukua magonjwa huko jamani maana Hata muda wa kupima usingekuwepo
 
Haya mambo hayana fomula

Mimi wife wangu sikua na malengo naye kabisa yani nilivyokua namtongoza nilitaka nipige na kusepa (haikuchukua hata siku tatu baada ya kumtongoza na kunitunuku utamu).

Nilijikuta nimenasa kama boya flani ivi, na mpaka leo maisha yanasonga mbele.

Wanawake wanatumia kigezo cha kunyima utamu na kukitumia kama kipimo cha upendo ila ukweli haupo ivo kabisa
Kweli mwanawane mie mwenyewe demu ambaye ninampenda mpaka kesho alinipa utamu siku ya kwanza tuu tulipokutana.
Wangejua kuwa ukitoa utamu mapema ndio unapendwa wasingeleta ujinga huu wa kubania mbususu.
 
Yaah ila atleast wawe wanasubiri Hata Kidogo yaani unakuta mtu siku ya kwanza ametongoza anataka jibu hapo hapo na kesho mkutane mmalizane ... Kuna wengine hawapo kwaajili ya kufanya biashara ya ngono jamani .. mimi nilivyomkwepa huyo jamaa imagine mpaka leo hajanitafuta kwasababu hakupata kile alichokuwa anataka kea wakati ule na pengine ningeenda Hata kuchukua magonjwa huko jamani maana Hata muda wa kupima usingekuwepo

Kwa kiasi fulani hiyo tabia yetu sisi wanaume ya kutaka ngono mapema na kukimbia Fasta baada ya kunyimwa, inasababisha na wanawake, wadada wengi huwa mna tabia moja,
naweza nikakutongoza leo ukawa unanizungusha mwezi mzima hata mwaka hunipi papuchi, au usinipe kabisa, ila Baada ya mimi kukutongoza, mwanaume mwenzangu akija kwako kukutongoza leo, kesho umemvulia nguo sababu unamuona ni handsome kuliko, halafu bora uwe unanizungusha huku unakuwa friendly, cha kushangaza unanizungusha huku unaniomba hela karibu kila siku, papuchi hunipi, saa ingine nkikupigia simu dharau kibao, kwenye sms chatting, story za maana huna..nikikuita sehemu ya wazi yenye watu kama vile kanisani, kwenye grocery, tupige story mbili tatu Hauji.. nyumbani kwenu hutaki nije.

Sasa dada yangu kwa mambo hayo, mwanaume gani atabaki kwenye hayo mahusiano baada ya kunyimwa papuchi? mtu akishanyimwa papuchi anaona wewe ni wale wale tu, anaona bora akimbie tu Ms eyes
 
Kwa kiasi fulani hiyo tabia yetu sisi wanaume ya kutaka ngono mapema na kukimbia Fasta baada ya kunyimwa, inasababisha na wanawake, wadada wengi huwa mna tabia moja,
naweza nikakutongoza leo ukawa unanizungusha mwezi mzima hata mwaka hunipi papuchi, au usinipe kabisa, ila Baada ya mimi kukutongoza, mwanaume mwenzangu akija kwako kukutongoza leo, kesho umemvulia nguo sababu unamuona ni handsome kuliko, halafu bora uwe unanizungusha huku unakuwa friendly, cha kushangaza unanizungusha huku unaniomba hela karibu kila siku, papuchi hunipi, saa ingine nkikupigia simu dharau kibao, kwenye sms chatting, story za maana huna..nikikuita sehemu ya wazi yenye watu kama vile kanisani, kwenye grocery, tupige story mbili tatu Hauji.. nyumbani kwenu hutaki nije.

Sasa dada yangu kwa mambo hayo, mwanaume gani atabaki kwenye hayo mahusiano baada ya kunyimwa papuchi? mtu akishanyimwa papuchi anaona wewe ni wale wale tu, anaona bora akimbie tu Ms eyes
Wengine tunatofautiana mkuu
 
naweza nikakutongoza leo ukawa unanizungusha mwezi mzima hata mwaka hunipi papuchi, au usinipe kabisa, ila Baada ya mimi kukutongoza, mwanaume mwenzangu akija kwako kukutongoza leo, kesho umemvulia nguo sababu unamuona ni handsome kuliko
Anakuweka kwenye friendzone hela anakula huwa inauma sana
 
Wanawake wa ajabu sana. Atakua na wanaume kama wanne ivi.

1. Anahudumia na penzi hapewi
2. Anahudumia penzi anapewa kwa mgawo
3. Hahudumii chochote na anapewa penzi full time, hapa ndipo mwanamke anajimwaga hata tigo atatoa. Yaan badman, hapa hata vipigo hutembezewa.
4. Ahadi ya ndoa. Huyu anafanana na no 1 isipokua yeye kapewa ahadi ya ndoa. Hapa ndo wanajifanya watakatifu wanaheshimiana hawataki kuvunja utaratibu wa mapenzi kabla ya ndoa.
Exactly kbsa mkuu
 
Week mbona ndefu sana
Ndani ya dakika kazaa mnakutana na anatuma sera ya ulaji wa tunda...sijui wanakuwa wanelogwa kwamba mda wote yeye ana hamu tuu?
Sasa kumkimbiza huyo mletee invoice japo ya laki 5...hutamuona hapo.
Mwanaume anayejitambua hawezi kuomba K ndani ya dakika kadhaa , masaa , siku kadhaa au week...lazima awe na ustaarabu
 
Kwaiyo ww ni expensive sio 1M dollar girl [emoji385][emoji765][emoji15][emoji15][emoji15]
Thaman ya mtu haipimwi Kwa pesa, utakuja na hio mipesa yako lkn km Hamna n Hamna tu sio wote tunajaribiwa na hizo pesa.
 
Back
Top Bottom