We mkorofi sana chamdeko DemissNgoja wajee mm naogopa kutolewaa povu
Mwanaume anacomment neno "Jomoni" khaaaa hayo majaribu shooo mm akinipm nafunga vioooo.
Umeandika kama utani vile, lakini kuna ukweli kwa kiasi kikubwa mkuu. Binafsi huwa sipendelei sana mambo ya pm.Humu kwanza mm najuaga wote wanaume tu nikiingia nasoma nasepa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Watu tupo tofauti sana. Mm ktk maisha yangu huwa naogopa sana kutongoza wanawake ovyo na kuwa na mazoea na watu. Tangia niingie JF sijawahi kutongoza mwanamke yyte na sifikirii kutongoza. Mm mitandao yote niliyojiunga huwa sifikiri wanawake. Na sign up JF nipate wanawake? Duh! Lbd siyo mm. Kuna baadhi nilishawahi kuchati nao pm lkn siyo kwa lengo la kutongoza bali ni urafiki wa kawaida na hawa wote niliwafuata mm. Ukimuona mwanaume anasubiria pm ya mwanamke huyo ana matatizo. "Kila kitu kinatafutwa''Mweeeh
Nipo hapa nawasubiri wanaume mkuje jamani
Kwahiyo unataka kusema wanaume wanaoshinda chit chat na mmu hawafai [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kama kuna ambae hajacheka kwa huu uzi either alikuwa kwa makonda leo au alitumbuliwa cheti fake..
nimefurahi kukuona pia maa....
Umeadimika mdadaTupooooooooooooogo
nipo mkakaUmeadimika mdada
Nime miss madini yako ya ushauri katika mijadala...nipo mkaka
Sababu ya matusiHujiulizi kwann?
Inshallah, ntarudi soooonNime miss madini yako ya ushauri katika mijadala...
Fanya urudi kwakweliInshallah, ntarudi soooon
Nimekupata vyema sana bibie [emoji106][emoji16][emoji16][emoji16]punguz kuwa mwemaa matusi ni ishara ya kuwa una mfadhaikoo na msongo wa mawazooo
nitumie na mimi nipaone [emoji12][emoji12][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]kuzur sana asikwambie mtu
Na iwe hivyoFanya urudi kwakweli