Wanaume wa JamiiForums ambao hampati PM wala kujibiwa PM na wanawake jiulize mpo kwenye Majukwaa gani?

Wanaume wa JamiiForums ambao hampati PM wala kujibiwa PM na wanawake jiulize mpo kwenye Majukwaa gani?

PM kujibiwa utasema unaomba kazi ya ukurugenzi? Utafanyiwa uhakiki wa vyeti, uraia, majukwaa, spelling error, lafudhi n.k msione wanaume wanalalamika.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]kweli hata mm tabia hiyo nimepitiaaaaaaaaa
 
Back
Top Bottom