Mr Miller
JF-Expert Member
- Jan 24, 2017
- 11,449
- 25,768
hahahaKabisaaaa unaweza kuzan mtu yupo UK kumbe mwananyamala kwa koma koma siku ukikutana nayee katoka UK unatokaaa nduki unamuacha hapo kasimama
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahahaKabisaaaa unaweza kuzan mtu yupo UK kumbe mwananyamala kwa koma koma siku ukikutana nayee katoka UK unatokaaa nduki unamuacha hapo kasimama
Tupoo[emoji23][emoji23][emoji23]... Ukipandishiwa vioo kila sehemu inabidi tu uwe MGUMU! Huko kwa Paul Makonda kwani wapo? [emoji1][emoji1]
Kumbe ndio maana ulikaushia PM yangu, sawa tu haina shidaMweeeh
Nipo hapa nawasubiri wanaume mkuje jamani
Kwahiyo unataka kusema wanaume wanaoshinda chit chat na mmu hawafai [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hivi Kichwa Kichafu huwa unapata pm kweli[emoji23][emoji23][emoji23]maana wewe unaahinda kwenye uzi wa kubet
Nakumiss pia dada yangu,Nakumiss ujue
hahahaAkianza kupost kwamba Nahitaji nondo na mabati kwa ajili y ujenzi wa mansion langu
Oooh mbn atapata pm fasta
[emoji122][emoji122][emoji122]Utaanzaje kuchart na mwanaume umemzidi IQ, haina raha kabisa
Mapenzi yenyewe huyajui pita tu ndugu yanguuuLove sentence
Mi simoooooo
Me pm huwa siikauishii najibu vizuri tu jamaniKumbe ndio maana ulikaushia PM yangu, sawa tu haina shida
Kumbe ndio hujawahi kujibu PM yangu.Demiss unanguo chafu maa??
[emoji23][emoji23]subiri wale wanaoshinda chitchat,mmu na celeb
Uyuga yani muntua
Tupoo
Kwanza wewe washiriki majukwaa gani kwanza tuanzie hapo,naweza fikiria kuja kwa paul makonda[emoji38][emoji38][emoji38]
Si unajua tunapenda macare sisi?Tuweke masikhara pembeni. Unanipa ushauri gani au nibadilishe vipi fomesheni ili na mimi nianze kula matunda ya kupata PM? Kuwa muwazi utoe maoni yako bila upendeleo..chukulia kesi yangu kama hadidu rejea.
[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]Me pm huwa siikauishii najibu vizuri tu jamani