Wanaume wa JamiiForums ambao hampati PM wala kujibiwa PM na wanawake jiulize mpo kwenye Majukwaa gani?

Wanaume wa JamiiForums ambao hampati PM wala kujibiwa PM na wanawake jiulize mpo kwenye Majukwaa gani?

Mh! Hilo nalo neno. Inabidi tu wengine tufunge PM kana kwamba hatuzitaki kumbe hatuzipati hata pale tunapozihitaji.

Lakini unawezakunisabahi tu. Sie wa IQ ndogo si tutahama JF?
Unaweza kuvumilia hata salamu tu, cha ajabu atakukera mwanzoni tu, tatizo tabia zao zinakuwa zakikekike ivi, ila wewe uko vizuri muntua
 
Kumbe ndio hujawahi kujibu PM yangu.

Daaaahhhh, mtaani vyuma, JF PM hujibiwi, kazini Boss hovyo, Mama Chanja kashitaki kwa DAB.

Sina pa kwenda labda segerea[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
Ila wewe si unashinda siasani?
Ngoja nianze kufukua makaburi yako,naweza nasa kwenye haka ka mtego ka paul makonda[emoji124] [emoji124] [emoji124]
 
Ila sisi wanaume kwa kupretend tunaweza sana,,naweza kukuigizia maisha ya ki uk uk unaamini mpka uje kushtuka ni too late......ila haya maigizo yanahitaji pesa za kutosha pia[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kweli kabisaaa kun jembaaa moja alinipa namba za Uk kumbe lipo.Mwanza siku naperuzi facebook nakutana na picha zakeee nikalifungia viooooo
Nikasema kimoyoni kwendraaaaaa shetani wewe
 
Km jamaa fulani anajiita putin jamaa ni lichoko lile na magazeti yake na emoji zake za kishambenga
 
Si unajua tunapenda macare sisi?
Yaani ukiweka zile swaga za MOTP ama Godfather aaah utakuja na nyuzi za kulalamika mod watoe pm yako.

Kweli nyie watu kiboko. Nilifikiria kwenye huu uzi ntaambulia hata PM moja tu, ina maana nakamilisha mwaka sasa bila bila, mara ya mwisho yenyewe ilikua ya kupigwa mkwara nijirekebishe nisije kupigwa BAN.
 
Yale majukwaa ambayo mnayakandia. Yasiyo wavutia warembo kuja kwa paul makonda! Acha tu tuwe wagumu! [emoji23][emoji23]
Mwenyekiti wako anakupoteza.
Jangwa la sahara lile[emoji23][emoji23]
Anza kwenda hata jamii intelijensi basi[emoji12][emoji12]nivutiwe kuja posta mpya(pm)
 
Back
Top Bottom