Gyole
JF-Expert Member
- Sep 20, 2013
- 7,008
- 7,059
Usipende kwenda pm,, ni rahisi kujijuaSasa Muntua niko vizuri viipi wakati bado PM iko empty set? Si ndio manyanyaso mnatupa haya?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usipende kwenda pm,, ni rahisi kujijuaSasa Muntua niko vizuri viipi wakati bado PM iko empty set? Si ndio manyanyaso mnatupa haya?
Yaani pm ya kwanza anakusalimiaAfadhali nimekumbuka kuna mwingine akikusalimia tu ukimjibu anaombaaa picha akiiiii
Nafunga kiooo hapo hapo
Kuna ada?
Jesus!!!
Yaani huyu ndo namtaka aje hapa[emoji23][emoji23][emoji23]Ngoja ajeeeee[emoji16][emoji16][emoji16]
Sio wewe mkuu! Ka wewe ndo kwanza nakuonaDah mnatusema wengine kimafumbo[emoji1552][emoji1552][emoji1552]
Basi naja samAdabya nini tena wakati PM yako tu inabidi mimi ndio nikulipe?
Usipende kwenda pm,, ni rahisi kujijua
Kumekuwa na malalamiko mengi kutoka kwa wanaume wa Jf kwamba hawapati PM kutoka kwa warembo wa Jf.
Mfano Zero IQ na Da 'Vinci na wengine wengi wakilalamika kufungiwa vioo.
Sasa niwaambie siri wanaume ambayo hamjui.
Yani ukimtumia tu mwanamke PM hakujibu mpaka aende kuangalia unashiriki ktk majukwaa gani?
Thread zako ni za aina gani?
Comment zako anafukua fukua makaburi kwanza?
Akishapata jibu ndio anarud PM kukujibu.
Hawa ndo wanaume wanaojibiwa haraka PM zao
Wale waliopo Great thinkers
-Jukwaa la siasa
-Jamii inteligance
-Habari na Hoja mchanganyiko
-Jukwaa la magari(No 1)
-Jukwaa la Madaktari
-Biashara na ujasiriamali
-Kilimo na mifugo
-Biashara na matangazo
Kifupi kwenye yale majukwaa magumu magumu.
Hawa wafuatao huwa wanafungiwa sana vioo PM kutokana na kushiriki kwenye haya majukwaaa.
-Chitchat
-MMU
-Celebrity[emoji16][emoji16][emoji16]
Hata mimi Demiss nilikuwa na hiyo tabiaa kabla sijaolewaa ukinitumia PM sikujibu mpaka nikafukue makaburi yako ya threads na comment zakoo nioneee .
Kile unachoandika ndiyo kipo kwenye akili yakooo .
Siwez kumjibu mwanaume anayeandika comment anaweka emoj[emoji108] [emoji108] [emoji108] [emoji108] lazima nikukaushiee tu.
Kundi la mwisho hawa wanaume walinipa wakati mgumu sana mtu yupo Jf toka mwaka 2014 lakini hajawahi kuanzisha uzi kucomment wala kulike ila anakuja PM na yupo online masaa yoteeee.
Basi naja sam
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]tile ka mpana muntu uyandika mambo ma kisunguuu wani waze kupm yakoooAaah sasa pso wakileta ngele. Nkimanile sana kyakikunde wikiuga numulelwe kwilyamba.
PM ni ndishe kusilye ingo, ungelile mpana ne?
Nijibu PM yangu kwanzaNini sasa?
Hutaki ama?
Ha ha haaaa,,,, aiseee JF raha sana.Hivi Kichwa Kichafu huwa unapata pm kweli[emoji23][emoji23][emoji23]maana wewe unaahinda kwenye uzi wa kubet
Mwenyekiti wako anakupoteza.
Jangwa la sahara lile[emoji23][emoji23]
Anza kwenda hata jamii intelijensi basi[emoji12][emoji12]nivutiwe kuja posta mpya(pm)