Lukwafya bhagasi
JF-Expert Member
- Oct 21, 2017
- 1,236
- 1,252
Mmmmhh!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Afadhali nimekumbuka kuna mwingine akikusalimia tu ukimjibu anaombaaa picha akiiiiiSasa hatufahamiani hizo speed unaenda wapi? Kitu gani unakihitaji kwa kasi hiyo hata jasho halijakauka umeshatuma hadi whatsapp, nikikujibu kitakachofuata si kuomba picha?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]whyKweli kabisaaa kun jembaaa moja alinipa namba za Uk kumbe lipo.Mwanza siku naperuzi facebook nakutana na picha zakeee nikalifungia viooooo
Nikasema kimoyoni kwendraaaaaa shetani wewe
Unaweza kuvumilia hata salamu tu, cha ajabu atakukera mwanzoni tu, tatizo tabia zao zinakuwa zakikekike ivi, ila wewe uko vizuri muntua
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wa biko hawana siled wala comment ila ni wahengaaaa wapo mpaka jukwaa la wakubwaaa
Tatizo wewe ni mpinzani wangu,naanzaje kuku pm sasa?Kweli nyie watu kiboko. Nilifikiria kwenye huu uzi ntaambulia hata PM moja tu, ina maana nakamilisha mwaka sasa bila bila, mara ya mwisho yenyewe ilikua ya kupigwa mkwara nijirekebishe nisije kupigwa BAN.
Kwa hili kaburi usingenipata ng'otiiiiBahati yako umeolewa juzijuzi tu. Otherwise ....
Mhhh!! kwa hiyo Demiss na nyie wadada huwa mnatuma PM? Sasa usiende kufukua makaburi mimi sina uzi wowote nilioanzisha toka nijiunge [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]kweli hata mm tabia hiyo nimepitiaaaaaaaaa
Ngoja ajeeeee[emoji16][emoji16][emoji16]Hivi Kichwa Kichafu huwa unapata pm kweli[emoji23][emoji23][emoji23]maana wewe unaahinda kwenye uzi wa kubet
Naonekana kwa avatar?[emoji23][emoji23]Au anasema hivi
"Carb unaonekana mtamu"
Nabak najiuliza amejuaje kama wewe mtamu kam ameweza kunidanganya hivi na vitu vingne itakuwaje?
Kuna ada?Rasi simba wa nini? Njoo PM nikupige kipindi havy
Asante kaka jamaniNakumiss pia dada yangu,
Karibu tena
[emoji23][emoji28][emoji23]Mapenzi yenyewe huyajui pita tu ndugu yanguuu
Nini tafsiri halisi ya mapenzi?
Unaanzaje kumfungia vioo mtu anayeandika vitu sensitive kwa ustawi wa nchi na familia yake kwa ujumla.Ewaaaaah shemej asante sana kwa hilooo
Hata mm sikuwa na ubavu wa kumfungia viooo my husband Jr
Nini sasa?Mmmhhh
Au anasema hivi
"Carb unaonekana mtamu"
Nabak najiuliza amejuaje kama wewe mtamu kam ameweza kunidanganya hivi na vitu vingne itakuwaje?
Hahaha[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]nilicheza biko ila ilikuwa safiii tu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] hata siasa za bongo si kama bongo movie tu[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]mwanaume anayeangalia bongo movie sitak kumsikiaaa