Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji16][emoji16][emoji106][emoji106][emoji106]ila siku unakutana naye mwambie akukute airport uende na mabegi kama umetoka UK
Shida zote za nn why?
Ngoja niwahi offerMweeeh
Nipo hapa nawasubiri wanaume mkuje jamani
Kwahiyo unataka kusema wanaume wanaoshinda chit chat na mmu hawafai [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Namshukuru Mungu siku imeenda vizuri, sijui wewe huko?Hakuna cha mipango wala mapango aisee! Vipi kwema?
Namshukuru Mungu siku imeenda vizuri, sijui wewe huko?Hakuna cha mipango wala mapango aisee! Vipi kwema?
Chungulia PM yakoYes km hivyo yani jf
Hahahaha nimekutumia pm nenda kwanza halafu uje hilo jina ni zuri lkn mh hapana hili hili acha niwachanganye kwanzaNakuchakulia jiite APPLE
Hahaha mmeanza baada ya kujisema mimi ni ke nimebadilika mimi ni meChungulia PM yako
Namshukuru Mungu siku imeenda vizuri, sijui wewe huko?
Watumiee mods wakubadilishie shoo kutongozwa pm kuna raha yake unakutana na vituko mbwembweee mapopomaa na kila aina ya uzwazwaaaHahahaha dah ndo na pm sipati sasa maana me wanahisi dume lenzao ke nao mnahisi hili dume wacha nipambane na ID yangu
Jambo la kheri. Nimerudi nyumbani mkuu, utanikutaNa mimi huku kheri kabisa, namshukuru Muumba!
[emoji23][emoji23][emoji23] mkuu bhn umeua sanaHumu kwanza mm najuaga wote wanaume tu nikiingia nasoma nasepa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Jina lakooo hilo ndo tatizooo badili haraka utaendelea kuwa na ukameee hivyo hivyooo[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Mi nipo karibia majukwaa yote haya lakini Pm yangu imekahukiwa kiukweli ina ukame kinomaaaaaa.