Wanaume wa JamiiForums ambao hampati PM wala kujibiwa PM na wanawake jiulize mpo kwenye Majukwaa gani?

Wanaume wa JamiiForums ambao hampati PM wala kujibiwa PM na wanawake jiulize mpo kwenye Majukwaa gani?

Nimejaribu kufukua hili kabur halifunguki mme wangu
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Screenshot_20180409-225126.jpg
 
Kasema kapo zinazotamba humu zimekutana majukwa haya haya [emoji23] [emoji23] [emoji23] ndio nikataka azitaje kapo hizo
Ndo hapo sasa hajaelewa kwanza siled yangu inamaanisha nn kakimbilia tu kucomment
 
Back
Top Bottom