Wanaume wa JamiiForums ambao hampati PM wala kujibiwa PM na wanawake jiulize mpo kwenye Majukwaa gani?

Wanaume wa JamiiForums ambao hampati PM wala kujibiwa PM na wanawake jiulize mpo kwenye Majukwaa gani?

Huyo mama mwenye nyumba asije tuu akakuozesha binti yake.
Kwaiyo sasa ndio umetoka kazini unaingia kulala.
aaah binti yake cha wote hana inshu..
naomba niozeshwe wewe tu basi.. teh
nshazoea nalala kidogo ila leo saa 10 naenda kupiga disko toto la mchana na usiku kwa watu wazima pia.. kama kawaidaa
 
Kumekuwa na malalamiko mengi kutoka kwa wanaume wa Jf kwamba hawapati PM kutoka kwa warembo wa Jf.

Mfano Zero IQ na Da 'Vinci na wengine wengi wakilalamika kufungiwa vioo.

Sasa niwaambie siri wanaume ambayo hamjui.

Yani ukimtumia tu mwanamke PM hakujibu mpaka aende kuangalia unashiriki ktk majukwaa gani?

Thread zako ni za aina gani?

Comment zako anafukua fukua makaburi kwanza?

Akishapata jibu ndio anarud PM kukujibu.

Hawa ndo wanaume wanaojibiwa haraka PM zao
Wale waliopo Great thinkers
-Jukwaa la siasa
-Jamii inteligance
-Habari na Hoja mchanganyiko
-Jukwaa la magari(No 1)
-Jukwaa la Madaktari
-Biashara na ujasiriamali
-Kilimo na mifugo
-Biashara na matangazo
Kifupi kwenye yale majukwaa magumu magumu.

Hawa wafuatao huwa wanafungiwa sana vioo PM kutokana na kushiriki kwenye haya majukwaaa.

-Chitchat
-MMU
-Celebrity[emoji16][emoji16][emoji16]

Hata mimi Demiss nilikuwa na hiyo tabiaa kabla sijaolewaa ukinitumia PM sikujibu mpaka nikafukue makaburi yako ya threads na comment zakoo nioneee .

Kile unachoandika ndiyo kipo kwenye akili yakooo .
Siwez kumjibu mwanaume anayeandika comment anaweka emoj[emoji108] [emoji108] [emoji108] [emoji108] lazima nikukaushiee tu.

Kundi la mwisho hawa wanaume walinipa wakati mgumu sana mtu yupo Jf toka mwaka 2014 lakini hajawahi kuanzisha uzi kucomment wala kulike ila anakuja PM na yupo online masaa yoteeee.
Kundi la mwsho [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Kuna kaukweli.
Lazima tufukue makaburi kwanza...na huwa tupo makini Sana.
 
aaah binti yake cha wote hana inshu..
naomba niozeshwe wewe tu basi.. teh
nshazoea nalala kidogo ila leo saa 10 naenda kupiga disko toto la mchana na usiku kwa watu wazima pia.. kama kawaidaa
Siku nyingine uwe unanialika nije huko huko nijirushe. Ila uwe unanitaja taja nipate umaarufu.
 
usijali ntakufundisha nawe uwe dj au hutaki?

hahaha lakin wewe si star hapa jf eti?
Nifundishe niwe DJ wa kike.
Uwe unanitaja taja huko unapopiga mzikii.[emoji28][emoji28][emoji28]niwe maarufu.
 
Back
Top Bottom