Wanaume wa JamiiForums nawajibu kwa nini tunawafungia PM na wengine hatuwajibu

Jf weng wana magari,nyumba nzri,pesa mingi,wazuri wao eeeeeehn huk kutamu ukishaelewa unaenda vile unavyotaka

Sio wote wanajitambua katika akili wengne makubwa jinga kuwa makini
Kasoro mimi tu hivo vitu similiki..
 
Kasoro mimi tu hivo vitu similiki..
Haaaaaa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hili chaka kubwa wanawake wa humu wanababaika kwa post tamu za watu ila uhalisia wa mtu na maarifa itachukua century kuujua hapo ndio tatizo lillipo yakishatokea wanakuja kulalamika humu.heshima ni ngumu kuitambua kwa maandiko
 
Pole mama... Ndohivo wengine ustarabu kwao ni msamiati
 
Namshauri huyo anayesambaza picha zako aache utoto.
Najua hiki kitendo cha picha zako kusambazwa kumekuumiza sana.

Pole sana my dear shunie.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…